Maisha ni mapambano, kama awamu iliyopita ilikosa hata ubunge wa VITI MAALUM,,
Bado fursa ipo,, kaza Buti,,
unaweza kuambulia hata ukatibu Tarafa,, pambana kaka,, ZETU DUA,,!
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mshangao kwangu, sio kwamba Waziri mkuu, eti hajui kuwa Dubai sio nchi.
Mshangao kwangu ni:-
mtu mwenye hadhi ya PM, Kukutwa hajui kuwa MAKUBALIANO NI MKATABA NA MKATABA NI MAKUBALIANO.,,!!?.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Jamani, mengine muwe mnakaa kimya, mtwafanya pro Nato wafe kwa kihoro,, walishaamua kushangilia uhasi wa prigo, mara ghafla,,,
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ili kuikomesha ujinga wao inatakiwa tuwasaidie li redio lako (hakuna kusikiliza) wala ku' view chaneli zao U,tube.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ukijitoa fahamu, uwe uwe unabakia za kuvukia barabara.
Umesahau kuwa Majaliwa (waziri mkuu), Alisema Dpw wamepewa Bandari kwa sababu utendaji wa Ticts ulikuwa mbovu,,
Sasa hapo nani kapewa za Uso, ni Mbowe au PM,,!?
Kabla ya kushangilia Tafakari,,!
Sent from my Infinix PR652B using...
Vile vile kuna watu wanaoshabikia Dpw kwa sababu ni Muslims,, bila kuwahurumia wajukuu wao, bila kujali maslahi ya Taifa,,
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ahaa,,! Unamaanisha kwamba KAMA NGOSHA, ALIFANYA UJINGA, waliokuja balaa yake wafanye UPUMAVU,,!? Au unamaanisha nini,,?
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kwenye eneo la biashara warundi, wana uaminifu sana,, ni nadra mrundi kukuchezea sarakasi,, ila Wabongo ndio uwafanyiwa umafia warundi mara nyingi.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.