Mkuu ujuzi wangu upo sana sana upande wa accounts,loan management na computer naijua sana upande wa software management ..mambo ya mabenki ,bima za mahospital na utawala wa hospital,usimamizi kwa ujumla etc.nina degree ya kwanza ya utawala na uhasibu
Elimu ya ukimwi kwa mapana yake,kuanzia kuingia kwake,kinga,vipimo vyake hadi kufikia dawa za kupunguza makali ya Virusi na mafanikio kuelekea upatikanaji wa dawa ni elimu pana sana kwa ujumla wake..tujitahidi kusoma kila kukicha na elimu izidi kutolewa kuhusu HIV kwa jamii kwa ujumla...
Daah kaka pole sana, unayoyasema yanauma sana hasa ukizingatia ulikuwa na matumaini sana ila mwisho wa siku hawa watu mimi binafsi nashindwa kuwaelewa, once ukiwa commited wao wanakuwa waongo sana... Mpaka leo sielewi tatizo ni nini
Hapana bana, mara zote amekuwa akilaumu ujuaji wa mwanamke na mwanamke kujifanya yupo juu kwenye kila kitu mpaka kufikia kiasi mwanaume anakuwa wa chini sana kitu ambacho alikishindwa
Mwaka jana nilisimama kama shahidi kwenye ndoa ya kaka angu kwa mwanamke aliyemsifia sana mwaka huu wameachana.Mwezi huu wanne hauishi anafunga ndoa tena na mwanamke mwingie anaemsifia sana.Hapa najiuliza ipi ni sababu ya wanaume wengi kushindwa kumudu ndoa zao?
Penye ukweli tuseme ukweli kwa hali aliyoikuta na hali aliyoiacha tunapaswa kumpongeza na kumbuomba msamaha kwa tulicho mtendea kweli hakustahili.. Hili leo giza limejirudia wakati nilishasahau kama umeme huwa unakatika enzi akiwa Waziri wa nishati na Madini
Najihisi mkosaji, kwa mengi aliyiyatenda na hukumu tuliyompa kweli hakustahili .. Nitumie nafasi hii kumuomba msamaha kwa tulichomtendea kwa niaba ya yangu na ya familia yangu nakuomba utusamehe Profesa Sospeter Muhongo kwa tulichokutendea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.