Kwa ushauri wewe nenda, ukisikiliza sana ya watu humu uta fail.
Me nilifanya usaili wao wa kaskazini na nikafaulu sasa hivi nipo kazini Kilimanjaro.
Ww nenda unaweza ikawa bahati yako ila ukionesha kufuata ya watu utafail
Sure me nilipokea simu yao leo jionii na nikaambiwa hvyo but nilikuwa kwa daladala ila kuna shule ya msingi kaitaja sikumpata vizurii inaitwajee.
Niliombaga nafasi ya udereva
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.