Recent content by Mwanselu

  1. M

    JamiiForums Tanzania EWURA yafafanua kutoshuka bei ya mafuta nchini

    Jamani Tanzania ina sarakasi zake katika sekta ya mafuta. Hivi mnahabari hata tukipewa mafuta kule yatauzwa kwa zaidi ya TzS 900/-. Issue ya kwanza kodi ya serikali TZS 752/-petro, 628 dizeli, 575 taa. Habari ni kwamba ushukaji wa gharama au bei katika soko la dunia inachangia si zaidi ya...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mafuta yashuka bei

    Hiyo ni taarifa iliyopotofu! Kwa taarifa yako petroli inapanda kinoma huku dizeli na mafuta ya taa yakishuka kwa cents
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kushuka kwa bei ya mafuta, wenzetu EWURA vipi?

    Huwezi nunua 890 kwa sababu tu kodi na makato mengine kwenye petroli ni sh 878 kwa lita.
Back
Top Bottom