Me nashangaa sana wanateteleka na kuitwa huko,kwa ufahamu wangu wito wwte iwe polisi au mahakamani ni kwa samashi au hati ya wito kutoka polisi..kama hujaitiwa kwa njia hzo kwann uwaze juu ya kwenda..sababu kubwa iliyopo hadi watu wanaenda ni kutaka kujisafisha tu juu ya tuhuma hzo lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.