Jamani mie nauliza tu! Nyie mnaua wenzenu huo uhai mliwapa nyie? au n mali yenu? hivi unajua kuwa nawe utakufa! Nawasihi wanadamu tumwogope Mungu, muwe na huruma kwa watoto wenu pia maana damu ya mwanadamu haipotei bure! nakulilia wewe u ayeua bila hata kujali watoto wa wenzenu mnaowafanya...
zamani wasomi walikuwa mstari wa mbele kudai na kutetea haki kwa kuandamanano na migomo! Nauliza tu maana kuuliza si ujinga! Wasomi wetu huko vyuo vikuu mnasoma ili iweje? Mumkomboe nani. Mbona hamuisaidii jamii? manatuangusha sana.
Nyie wairani wa kamsamba,hagafilo, kongowe na kimbanguliw juu, kaeni pamoja na wayahudi mmalize tofauti zenu, wayahudi hamuwawezi, watawamaliza, watoto lana hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.