Hili Jimbo lipo kule jamaa wasikotaka Muungano aslani"Zenji",Kazi yake ni kutiwa vidole tu,ndio maana alimtoa Wenje ili akamtie vidole,we siumemuona alivyozubaaa,anawaza halua tu mjengoni........Wabunge Viti maaluma CCM leo walikuwa wanatimiza wajibu wao,kuzomea,na kupiga meza tehe tehe.....