Kiuhalisia, si rahisi kutengeneza timu yoyote ile ikafikia nusu fainali ya mashindano ya vilabu vya Bara lolote lile kwa kuanza na wachezaji wapya wengi kuliko waliobakishwa. Huo unakuwa ni Mradi mpya unaohitaji zaidi ya mwaka mmoja kukamilika.
Timu bora hucheza kwa malengo (objectively). Haiwezi kuhatarisha utimamu wake kwa mechi muhimu zinazofuata kwa kulazimisha mabao zaidi kwa nia ya kumkomoa mpinzani tu, wakati hata nusu goli linatosha kuivusha. Hoja yako ingekuwa sahihi zaidi iwapo Yanga ilitakiwa lazima ipate mabao matatu ndiyo...
Kuna kasoro kubwa kwenye uendeshaji Ligi za TFF, ambazo huwa hazionge hata na wanaojifanya wachambuzi wa michezo hapa nchini . Baadhi yao ni : 1. Timu kupewa ushindi wa mezani. Ni aibu kwa Ligi yoyote inayojitambua kuwa na kanuni inayoruhusu timu kupata pointi bila ya kucheza mechi, kwa sababu...
Unajua kwamba ‘kusogezwa mbele’ maana yake ni ‘kucheleweshwa’? Na unajua kwamba ‘kuahirishwa’ maana yake ni ‘kucheleweshwa’ (inatokana na neno ‘akher’ la Kiarabu lenye maana ya ‘mwisho’, ndiyo yapatikana pia maneno ‘ahera’, ‘aheri’ kwa maana ya bei ya mwisho kwa muuzaji, n.k.). Kwa hivyo...
Kwa hivyo Brazil imechukua Kombe la Dinua mara nne tu kwa kuwa kwenye mashindano ya USA ilichukua kwa changamoto ya mikwaju ya penalti? Kwa hivyo kwenye ranking ya FIFFA ya mwezi huo na karibu mwaka mzima uliofuata haikuwa ya kwanza duniani kwa sababu imeshinda kwa mikwaju ya penalti? Kwa hiyo...
Unasahau kwamba michezo inayoamuliwa hivyo huwa ni ya mtoano, kwa hivyo swala la pointi na magoli ya kufunga dhidi ya kufungwa huwa halihusiki. Anayeshindwa kwenye changamoto ya penalti huwa ameshindwa, ametolewa, haendelei tena. Aliyeshinda anaenda hatua inayofuata au kama ameshinda kwenye...
Issue ni kuwa upigaji penalti tanotano ni kubahatisha, lolote linaweza kutokea. Kwa hivyo ni kamari, hazina mwenyewe hata kama ni baada ya dakika 120. Mimi sikubaliani na hilo kwa sababu upiganianaji penalti kuamua mshindi umeanza zamani na ni sehemu ya mchezo wenyewe. Tatizo ni kwamba sisi...
Na hii dhana kwamba penalti ni kamarI, penalti haina mwenyewe, ni kwa wasioelewa maana ya uwezo wa timu. Kupigiana penalti ni kamari kwa walioshtukizwa na mtindo huo kwa mara ya kwanza duniani. Tangu hapo imekuwa ni sehemu muhimu ya ufundi wa timu. Makocha wa makipa wameweka mafunzo mahsusi ya...
Kwani nani anabisha hilo? Linalobishaniwa ni kwamba kutoshana nguvu huko kumetokana na Simba kutokuwa na wachezaji wake wa kutegemewa. Hilo halikubaliki kwa sababu hata na Yanga pia hawakuwa na wachezaji wao tegemez. Hiyo ndiyo hoja. Kwamba Simba wasisingizie kutoshinda mechi hiyo kwa sababu eti...
Kuna mechi yoyote ya Simba ambayo hao wote uliowataja wamecheza kwa pamoja, sambamba nabaadhi ya hao wa kikosi cha kwanza waliocheza leo?
Yasin Mustafa, Bakari Mwamnyeto, Lamine Moro, Fei Toto, James Kaseke, Yakoiba, walichezea Yanga leo? Hao ni wa kikosi cha pili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.