Tuseme ukweli kuhusu Yanga na TFF

kibaravumba

JF-Expert Member
Dec 21, 2012
6,635
7,005
Nimeona madai ya wachambuzi wengi wakishadidia kuwa yanga ina mgogoro na TFF. Binafsi nikijiuliza mgogoro huo ni upi,napata shida kidogo kuuelewa. Naomba mnisaidie.

Madai ya Yanga na mashabiki wake ni kwamba yanga inaonewa na waamuzi.

Madai haya je yana ukweli wowote?

Mi nasema katika vilabu vilivyofaidika na kubebwa na waamuzi msimu huu,yanga inaongoza.Nasikitika sana kusema hawa Watu wakisaidiwa na "takataka" zilizojaa kwenye vyombo vya habari, wameaminishwa kwamba wana wachezaji wa kiwango cha kimataifa level za club bingwa.

Wameaminishwa kuwa wanastahili ushindi wa goli nyingi na kwamba kushinda kwao goli moja ni kwa sababu TFF haiwapendi.Hiki kilio tumekisikia kwa baadhi ya wanachama.

Ndio maana hata mechi ya trh 8/5 lawama zote wamezielekeza TFF. Hakuna aliyefikiri kuwa nyuma yake kuna mkono wa mwanayanga ambaye ametumia dhamana aliyonayo serikalini kuwapa maelekezo TFF.

Halafu huku akijua kuwa timu yake itagomea mabadiliko hayo,hakuchukua maamuzi ya kuwaomba msamaha.Alikaa pembeni akifurahia jinsi mpambano unavyoendelea kati ya timu yake na TFF.

Hoja za yanga kwamba inaonewa,zinakuzwa sana na wachambuzi "takataka" waliojazana kwenye vyombo vya habari.

Je, ni kweli yanga inavyocheza inaonewa na TFF?
 
Aliyewapa yanga jina la utopolo hakukosea na Eymael hakukosea kuwata yanga na mashabiki wake uneducated , Mwakalebela kila siku alikuwa anawadanganya yanga kuwa wamemfungulia kesi Morison cas washabiki wa yanga wakawa wanashangilia uongo lakini Mwakalebela alipowashutumu tff na tff kumtaka atoe vithibitisho alishindwa lakini alipofungiwa wakaenda kulalamika kwa waziri wakijua ni mwenzao, waziri asingetoa agizo la kuairisha mechi bila kuwasiliana na utopolo wenzake waache kudanganya mchezo wote ulipangwa na yanga wakishirikiana na waziri ili kukwepa kipigo cha aibu.
 
Nimeona madai ya wachambuzi wengi wakishadidia kuwa yanga ina mgogoro na TFF. Binafsi nikijiuliza mgogoro huo ni upi,napata shida kidogo kuuelewa. Naomba mnisaidie.

Madai ya Yanga na mashabiki wake ni kwamba yanga inaonewa na waamuzi.

Madai haya je yana ukweli wowote?

Mi nasema katika vilabu vilivyofaidika na kubebwa na waamuzi msimu huu,yanga inaongoza.Nasikitika sana kusema hawa Watu wakisaidiwa na "takataka" zilizojaa kwenye vyombo vya habari, wameaminishwa kwamba wana wachezaji wa kiwango cha kimataifa level za club bingwa.

Wameaminishwa kuwa wanastahili ushindi wa goli nyingi na kwamba kushinda kwao goli moja ni kwa sababu TFF haiwapendi.Hiki kilio tumekisikia kwa baadhi ya wanachama.

Ndio maana hata mechi ya trh 8/5 lawama zote wamezielekeza TFF. Hakuna aliyefikiri kuwa nyuma yake kuna mkono wa mwanayanga ambaye ametumia dhamana aliyonayo serikalini kuwapa maelekezo TFF.

Halafu huku akijua kuwa timu yake itagomea mabadiliko hayo,hakuchukua maamuzi ya kuwaomba msamaha.Alikaa pembeni akifurahia jinsi mpambano unavyoendelea kati ya timu yake na TFF.

Hoja za yanga kwamba inaonewa,zinakuzwa sana na wachambuzi "takataka" waliojazana kwenye vyombo vya habari.

Je, ni kweli yanga inavyocheza inaonewa na TFF?
Umeongea dhahaabu tupu mwanangu!
 
Nimeona madai ya wachambuzi wengi wakishadidia kuwa yanga ina mgogoro na TFF. Binafsi nikijiuliza mgogoro huo ni upi,napata shida kidogo kuuelewa. Naomba mnisaidie.

Madai ya Yanga na mashabiki wake ni kwamba yanga inaonewa na waamuzi.

Madai haya je yana ukweli wowote?

Mi nasema katika vilabu vilivyofaidika na kubebwa na waamuzi msimu huu,yanga inaongoza.Nasikitika sana kusema hawa Watu wakisaidiwa na "takataka" zilizojaa kwenye vyombo vya habari, wameaminishwa kwamba wana wachezaji wa kiwango cha kimataifa level za club bingwa.

Wameaminishwa kuwa wanastahili ushindi wa goli nyingi na kwamba kushinda kwao goli moja ni kwa sababu TFF haiwapendi.Hiki kilio tumekisikia kwa baadhi ya wanachama.

Ndio maana hata mechi ya trh 8/5 lawama zote wamezielekeza TFF. Hakuna aliyefikiri kuwa nyuma yake kuna mkono wa mwanayanga ambaye ametumia dhamana aliyonayo serikalini kuwapa maelekezo TFF.

Halafu huku akijua kuwa timu yake itagomea mabadiliko hayo,hakuchukua maamuzi ya kuwaomba msamaha.Alikaa pembeni akifurahia jinsi mpambano unavyoendelea kati ya timu yake na TFF.

Hoja za yanga kwamba inaonewa,zinakuzwa sana na wachambuzi "takataka" waliojazana kwenye vyombo vya habari.

Je, ni kweli yanga inavyocheza inaonewa na TFF?
Kumwita binadamu mwenzio takataka ndo unajiona umefiiika?
 
Malalamiko kwa Yanga ni kawaida sana.

Washalalamikia makocha wao tofauti tofauti na wakawafukuzwa.

Washawalalamikia viongozi wao.

Washawalalamikia wachezaji wao.

Washawalalamikia TFF.

Washawalalamikia body ya ligi.

Washawalalamikia Simba.

Washamlalamikia Haji Manara n,k.
 
Malalamiko kwa Yanga ni kawaida sana.

Washalalamikia makocha wao tofauti tofauti na wakawafukuzwa.

Washawalalamikia viongozi wao.

Washawalalamikia wachezaji wao.

Washawalalamikia TFF.

Washawalalamikia body ya ligi.

Washawalalamikia Simba.

Washamlalamikia Haji Manara n,k.

Ila hawajafikia hatua ya kwenda na tv kwenye kikao na waandishi wa habari kuonesha jinsi wanavyonyimwa penalti!
 
Malalamiko kwa Yanga ni kawaida sana.

Washalalamikia makocha wao tofauti tofauti na wakawafukuzwa.

Washawalalamikia viongozi wao.

Washawalalamikia wachezaji wao.

Washawalalamikia TFF.

Washawalalamikia body ya ligi.

Washawalalamikia Simba.

Washamlalamikia Haji Manara n,k.
Bado club bingwa next season
 
Uongozi wa Karia umewekwa na Kiongozi mmoja mkubwa serikalini. Alipewa kazi moja. Kuikomoa Yanga. Mmemsikia Bungeni akiumauma maneno na inaelekea ndiyo aliyetoa maelekezo mechi isogezwe mbele.
Wana kawaida ya kusogeza departure time ya ATCL .
 
Hiyo ni mbinu ya viongozi wa Yanga ya kujikinga dhidi ya lawama za mashabiki.

Yanga Wana wachezaji wa kawaida Sana,wajiulize mfungaji wao ana magori mangapi,anayepiga pasi za mwisho kapiga ngapi.Simba inatoa wachezaji 3 Kati ya 10 kwenye ufungaji bora wa ligi.Chama na Luis Wana assist za kumwaga.

Onyango na Mohamed Hussein Wana magoli mengi kuliko washambuliaji wa Yanga.

Ukisema Simba inapendelewa na TFF basi hata CAF wanaipendelea.Tatizo la Yanga Wana viongozi wengi (Kila kiongozi ana ndevu kama ukoo wa kambale)tofauti na Simba yenye mtu mmoja kwenye sauti.

Msimu huu watakosa ubingwa halafu watafanya mabadiliko makubwa ya wachezaji na msimu ujao hawatakuwa na timu imara, watafanya vibaya na wataendelea kuilaumu TFF.
 
Kwa hiyo ndio maana mmefukuza makocha kama wote?

Na ndio maana Sarpong hafungi kumbe?
Akili za utopolo ni viazi mbatata kweli!
Uongozi wa Karia umewekwa na Kiongozi mmoja mkubwa serikalini. Alipewa kazi moja. Kuikomoa Yanga. Mmemsikia Bungeni akiumauma maneno na inaelekea ndiyo aliyetoa maelekezo mechi isogezwe mbele.
Wana kawaida ya kusogeza departure time ya ATCL .
 
Uongozi wa Karia umewekwa na Kiongozi mmoja mkubwa serikalini. Alipewa kazi moja. Kuikomoa Yanga. Mmemsikia Bungeni akiumauma maneno na inaelekea ndiyo aliyetoa maelekezo mechi isogezwe mbele.
Wana kawaida ya kusogeza departure time ya ATCL .
Waliofanya mechi isogezwe mbele ni wale waliokimbia uwanjani basi likienda spidi 120 kuwahi saloon ya mama Kimbo.
 
Back
Top Bottom