Kama hyo jamii inanikubali japo sio mzawa na wala sijawahi kuishi je katiba inaniruhusu. Mfano Zito kabwe kugombea kigoma mjini japo si mkazi wa kigoma mjini je katiba ina mruhusu?
Jamani nina swali. Kuna uhusiano upi Kati ya kugombea nafasi ya ubunge na makazi? Naamanisha naweza kugombea ubunge katika jimbo ambalo sijazaliwa wala sijawahi kuishi? Na kama hairuhusiwi kugombea nafasi hiyo ni kifungu kipi kimeandika hicho kitu?
Jamani nina swali. Kuna uhusiano upi Kati ya kugombea nafasi ya ubunge na makazi? Naamanisha naweza kugombea ubunge katika jimbo ambalo sijazaliwa wala sijawahi kuishi? Na kama hairuhusiwi kugombea nafasi hiyo ni kifungu kipi kimeandika hicho kitu?
Jamani nina swali. Kuna uhusiano upi Kati ya kugombea nafasi ya ubunge na makazi? Naamanisha naweza kugombea ubunge katika jimbo ambalo sijazaliwa wala sijawahi kuishi? Na kama hairuhusiwi kugombea nafasi hiyo ni kifungu kipi kimeandika hicho kitu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.