Kwa 7bu ya ujinga wanapochunga ng'ombe uhesabu hatua za mguu ili kujua muda kwa 7bu ya ujinga wa mtume ndio maana mnaangalia mwezi kuandama kujua majira na nyakati ujinga huo watu wajinga kununua suruali zinazowatosha kisha kuzikata zisiwatoshe ujinga wa mtume ndio 7bu
Sumu mlikoitoa kiwanda kifungwa au mwili wake umeshaizoea nawashauri mtafute mbinu nyingine hii ya kumchafua mitandaoni imeshashindwa kama ile ya kwanza ya sumu.
Watz MUNGU atuponye kwenye akili zetu hivi mtu unae jitambua unaweza ukamsifia prof. mwenye dharau na kiburi kama huyu kwa watz.Hivi zile b.200 tusiseme kwa 7bu kaweka umeme vijumba viwili kijijini tena kwa kodi zetu,halafu zingine zinaliwa huko ewura na mtu ananyongwa aa sorry anajinyonga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.