Mdee kwisha kazi!
Utapeli wake na Ufisadi kwenye Mifuko ya Maendeleo ya Jimbo yote amekula.
Kwa Wizi huo na Utapeli nani amchague?
Em atuache wana KAWE sisi na Bishop GWAJIMA mwaka huu.
Mdee out tumekuchoka na sinema zako kila siku zisizoisha, Kila siku kesi na hauna Muda wa kusikiliza kero...
Utasubiri sana.
Swala la CCM kuanguka futa kichwani kabisa.
Nani akiangushe? CDM wasiokua na hija wala sera, Watanzania sio wajinga waache kuchagua mtu wa kuendeleza nchi yao wakamchague Kibaraka wa Mabeberu na Anesupport sera za Magharibi kama Ushoga.
Nasema Lissu No❌
Na ww uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo siyoo? Chukua Mfano kenya wanaotumia mfumo wa Kaunti zinazoongozwa na Ma senator, unasikia kila siku vurugu za kikanda na kikabila na Baadhi ya Kaunti kama Nairobi na Mombasa kuwa na Uwezo Mkubwa kulinganisha na nyingine.
Hii inaleta mgawanyiko ndani...
Ulichokisema ni kweli.
CDM hawajajipanga kuchukua dola, Hawana vigezo kwani Chama chao hakipo Imara na Kimejaa migawanyiko ya kimaslahi. Inabidi wakae chini wajipange na kukijenga chama chao Kama wakifanikiwa waje Tukutane Uwanjani kwa Miaka ijayo ila kwa sasa hapana
Tukio hili ni la kupingwa vikali, Ni tukio baya na la kiuaji.
Vyombo vya Ulinzi na Usalama viwatafute wahusika na wapate hukumu kulingana na Sheria za nchi.
Watanzania tuzidi kudumisha Amani Upendo na siasa safi kipindi hiki cha Kampeni.
Ni kweli kuna Maeneo wanatumia picha za 2015 kipindi cha Lowasa kwani kwasasa hawana uwezo wa kukusanya watu wengi kuja kwenye Kampeni zao ambazo hazina sera wala mvuto zaidi ya Matusi na Chokochoko za kuivuruga Tanzania yetu yenye Umoja na Upendo.
Mfuko waDhamana wa Mikopo kwa Wajasiriamali katika Sekta ya Kilimo
(SIDO SME-CGS) umetoa udhamini wa mikopo 33 yenye thamani ya
shilingi 1,048,000,000 kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Morogoro,
Arusha, Kigoma, Mwanza, Singida, Mbeya, Iringa, Njombe, Tanga na
Manyara;
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.