nyie mnapata shida wakipitisha tu na sisi tunatafuta no za hao mawazir na wabunge vilaza nao tunawatumia mana sheria yao cinasema na yule aliopokea na anakamatwa ili tukajae huko magereza mm nawaomba waongeze magereza mana haitatosha
Na green guard ya ccm wann wale kama co hao wanaotuteka na kuua wakat wa uchaguz wasilete uwehu wa red briged kuwa ni kukundi cha kigaid je nahao mafisad
kama yeye anajiona anafaa mbona anahonga sana nyie mnaojiita friends of nn hamjiulizi huyo anayetaka urais kwa kuhonga mabilion anafaa kuwa rais au ndio atakuwa shida zaid ya huyu aliopo jipimen kwanza kabla ya kutumika
mimi nawapongeza sana wananchi kwa uwamuz walioufanya mana police wamekuwa adui wa wananchi wacha tuyafundishe adabu.safi sana yamezid kutumika na miccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.