Bora hata Aunt Ezekiel alikua maarufu kuliko huyu, daah CCM wanapoteza hela zao buree. Bora wangezitunza mishahara ya wafanyakazi watakapokua chama cha upinzani. Masna vyanzo vyao vya mapato vitapungua saaaana
Lisu nakuomba kwenye mkutano ujao umuombe mheshimiwa Raisi atuambie zile hela zilizobebwa kwenye Viroba na Marumbesa za Escrow kutokea Stanbic Bank, zikikua za nani? Na kisha atuambia kampuni ya Simba Trust ambayo iko ubia na IPTL ni ya nani? Chonde chonde Lissu usisahau
Walaa Kikwete hajaingizwa mjini, yeye ndo alieandaa tafrija hiyo kwa kumtumia Ruge, yeye ndo alietoa kadi za mwaliko kwa wasaniii. Raisi alijua kabisa analofanya. Waulize wasanii waseme kama kuna aliechanga hela ya kulupia Ukumbi? Kununua chakula, vinywaji na kila kitu? Kikwete ndo alikua msanii...
Definitely wasanii wamekua organized kupost hizo Picha, alafu wote wameanza siku moja na Picha zimekua edited from one source, the question is wanapost kwa mapenzi yao? Au wamashinikizwa? Who is behind this?
Huwa tumezoea kuona Ndege za jeshi zikifanya mazoezi wiki moja au mbili kabla ya public holidays.
Lakini leo tarehe 19/08/2015, toka asubuhi anga letu hapa Dar limezungukwa na Ndege, kila dakika zinapita, alafu isivyo kawaida leo zinapita chini chini saaana, zinatushtua na kutupigia kelele...
Jamani hizo naamini ni strategy za ushindi za UKAWA, Dr. Slaa sio mjinga akaondoka Chadema dakika hizi za mwisho kuelekea Ikulu. My instinct tells me ataibuka siku ya kumtangaza mgombea wa UKAWA, alafu hapo wazee wa goli la mkono watabaki bila story
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.