JIFUNZE KUTAFASIRI MAZINGIRA,ISIWE NI KIPINDI CHA KUTOKA WEWE UNANG'ANG'ANIA KUBAKI ✍️
WENGI TULIZAMISHA KUBAKI SEHEMU TUNAZOTAKIWA KUTOKA TUKAISHIA KUPOTEZA MUDA NA HESHIMA 😔
MAZINGIRA HUZUGUMZA NA UKIJIFUNZA KUYAELEWA UTAEPUKANA NA TATIZO LA KUPOTEZA MUDA ✍️
MUDA WA KUONDOKA UKIFIKA...
HADITHI TAMU SANA YENYE MAFUNZO MAKUBWA!
NAJUTA KUMPELELEZA MCHUMBA WANGU FACEBOOK 1
SEHEMU YA KWANZA “NAPOKEA FRIEND REQUEST”
Ilikuwa Jumapili nikiwa nimetoka ibadani nimetulia tu kitandani kusaka utulivu wa nafsi, masaa sikuwa nayakumbuka vizuri ila nachokumbuka tu ni kwamba nilikuwa...
Msemo huo una ukweli mchungu sana kuhusu maisha!
Kuku ana kila vigezo vya kuruka na kufika mbali—ana mabawa, ana manyoya, na ana mwili unaoweza kuinuka—lakini amechagua kubaki chini akitafuna makombo kwa sababu tu alikuta wenzake wakifanya hivyo, na amezoea mazingira hayo.
KATAA KUWA KUKU...
Unapomchafua jina lake kwa lengo la afukuzwe kazi si yeye tu unamdhuru bali
Unadhuru watoto, wazazi, na familia nzima inayotegemea jasho lake.
Kizazi chake chote kitakuchukia
Malenga wa Kiha
Mwanasayansi Saul kalivubha
pale unapougua, pale kazi inapokwama ndipo utajua ni nani alikuwa na wewe na ni nani alikuwa na kile ulichokuwa nacho.
Huu siyo uchungu bali hii ni uchujaji wa asili.
Mungu wakati mwingine anakuruhusu "ubaki wewe" ili akufundishe somo ambalo vigelegele haviwezi kukufundisha.
Unapobaki wewe...
Tena ni njia iliyojificha vizuri mno kwa sababu inakupa utulivu wa muda mfupi huku ikikuepusha na maumivu ya ukweli unaotakiwa kuukabili.
Unapojifariji kupita kiasi, unakua unatengeneza "mto laini" wa kulalia ili usihisi ugumu wa mazingira uliyopo.
Ukweli mara nyingi unachoma na unahitaji...
Tukome kupima upendo kwa idadi ya mambo tunayofanya kwa watu na tupime upendo kwa idadi ya watu wanaotuheshimu tunaposema "hapana".
Ukikosa msimamo, utatumika mpaka uchoke ila ukiujenga msimamo utaheshimiwa hata na wale waliokuwa wanakutumia jana
Kumbuka: Mlango usioweza kufungwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.