Ndio hata wewe huo uwezekano unao endapo tu utakuwa na mitizamo hii :
1. Uzeeni kuna watu wakutunza hasa ukiweka mategemeo kwa watoto zako 😔 Hujasikia watoto wakitelekeza mzazi? Au hata kudiriki kumuua ?
2. Unategemea pesa za kustaafu kazi zije kukupa kampani uzeeni 😔
3. Unaona ujana kama...
Ubinadamu haupo kwa kila mtu kuna wengine kimaumbile ni watu lakini ndani ni wanyama wakatili sana pengine zaidi hata ya hao wanyama mwitu.
Ukilitambua hilo utakuwa makini sana kwa sababu furaha yako itamaliza na mtu ambaye ulitarajia mazuri kwake .
Leo hii unaweza kutumia mtumbwi wako...
Hii kauli imefanya watu washindwe kujitafajari pale wanapopoteza kwa kujifariji kuwa HAIKUWA RIDHIKI .
Inaweza kuwa ni ridhiki yako ndio lakini ukaipoteza kwa ujinga au tabia zako na kwa sababu ya hiyo faraja unayoijipa unabaki kuamini tu kama ni chako kitakuwa na kama sivyo kitaondoka lakini...
Hii Dunia tupo watu wenye haiba mbali mbali rahisi na ngumu katika kuishi na wengine na bahati mbaya kuna haiba hazibadiliki wala kurekekebishika hivyo unachotakiwa ikiwa utakutana na mtu mwenye haiba hiyo ni kujifunza kuishi naye au kumpuuza tu
WAKIKUTA UNABISHANA NA KICHAA WATAKUSHANGAA WEWE...
Wakijua wewe ni mwema wataanza majaribio kukupima kama una weza kusema HAPANA wakigundua huna huo uwezo basi huo utakuwa ndio mlango wao kujipatia wanayohitaji kutoka kwako .
Sio kwamba bila misaada yako hawawezi kuishi la hasha wanaweza kuishi vizuri tu ila wakija kwako wanajifanya kama vile...
Wimbi la kujiua likiwa limepamba kasi na sababu nyingi zikiwa mahusiano ila kuna hii pia ya kujilinganisha nayo ni sababu kubwa katika kumaliza ndoto za vijana mpaka kupatwa na magonjwa ya moyo ingali ni wadogo tu
Unaingia mtandaoni unaona rafiki yako mliyeachana miaka kadhaa nyuma kaweka...
Nguvu nyingi wekeza kwenye kujua unataka nini ili usiendelee kusumbuka na kila chaguo linalopita mbele yako kwa sababu unaweza kusema hujaona chaguo lako kumbe tayari lilikuja ukapishana nalo kwa kutolijua.
Wengi tunawekeza nguvu nyingi kwenye kutafuta lakini hatujui tunachokitafuta kikoje ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.