Recent content by Mwanasayansi Kalivubha

  1. M

    Sifa kuu tano za Mtu Maskini au utakuwa Maskini

    Mitizamo hasi ni gereza bayasana na maskini wengi tuko humo
  2. M

    Vijana wengi huhisi wazee maskini walizembea ujanani, siyo kweli hata wewe unaweza kuwa huyo mzee

    Ndio hata wewe huo uwezekano unao endapo tu utakuwa na mitizamo hii : 1. Uzeeni kuna watu wakutunza hasa ukiweka mategemeo kwa watoto zako 😔 Hujasikia watoto wakitelekeza mzazi? Au hata kudiriki kumuua ? 2. Unategemea pesa za kustaafu kazi zije kukupa kampani uzeeni 😔 3. Unaona ujana kama...
  3. M

    Jihadhari dhidi ya hao unaowatambulisha kwa bosi wako kwani kesho ndio watarudi kimya kimya kukuchoma

    Ubinadamu haupo kwa kila mtu kuna wengine kimaumbile ni watu lakini ndani ni wanyama wakatili sana pengine zaidi hata ya hao wanyama mwitu. Ukilitambua hilo utakuwa makini sana kwa sababu furaha yako itamaliza na mtu ambaye ulitarajia mazuri kwake . Leo hii unaweza kutumia mtumbwi wako...
  4. M

    Hii kauli ya 'kama ni wako basi atakuwa' imeharibu wengi wanaoitafsiri ndivyo sivyo

    Hii kauli imefanya watu washindwe kujitafajari pale wanapopoteza kwa kujifariji kuwa HAIKUWA RIDHIKI . Inaweza kuwa ni ridhiki yako ndio lakini ukaipoteza kwa ujinga au tabia zako na kwa sababu ya hiyo faraja unayoijipa unabaki kuamini tu kama ni chako kitakuwa na kama sivyo kitaondoka lakini...
  5. M

    Ukimkimbiza kichaa wote mtakamatwa kama vichaa ili msilete fujo kwa sababu watashindwa kuwatofautisha

    Hii Dunia tupo watu wenye haiba mbali mbali rahisi na ngumu katika kuishi na wengine na bahati mbaya kuna haiba hazibadiliki wala kurekekebishika hivyo unachotakiwa ikiwa utakutana na mtu mwenye haiba hiyo ni kujifunza kuishi naye au kumpuuza tu WAKIKUTA UNABISHANA NA KICHAA WATAKUSHANGAA WEWE...
  6. M

    Wengi wanatumia wema wako kama udhaifu kukutumia kwa maslahi yao, ukigundua hilo wafukuze bila huruma

    Wakijua wewe ni mwema wataanza majaribio kukupima kama una weza kusema HAPANA wakigundua huna huo uwezo basi huo utakuwa ndio mlango wao kujipatia wanayohitaji kutoka kwako . Sio kwamba bila misaada yako hawawezi kuishi la hasha wanaweza kuishi vizuri tu ila wakija kwako wanajifanya kama vile...
  7. M

    Kujilinganisha kunamaliza sana ndoto za watu,chanzo kingine cha msongo mpaka kujiua na magonjwa ya moyo

    Wimbi la kujiua likiwa limepamba kasi na sababu nyingi zikiwa mahusiano ila kuna hii pia ya kujilinganisha nayo ni sababu kubwa katika kumaliza ndoto za vijana mpaka kupatwa na magonjwa ya moyo ingali ni wadogo tu Unaingia mtandaoni unaona rafiki yako mliyeachana miaka kadhaa nyuma kaweka...
  8. M

    Usipojua unachokitafuta utaendelea kusema siku yako bado kumbe ilikuja lakini hukuijua mkapishana

    Nguvu nyingi wekeza kwenye kujua unataka nini ili usiendelee kusumbuka na kila chaguo linalopita mbele yako kwa sababu unaweza kusema hujaona chaguo lako kumbe tayari lilikuja ukapishana nalo kwa kutolijua. Wengi tunawekeza nguvu nyingi kwenye kutafuta lakini hatujui tunachokitafuta kikoje ndio...
Back
Top Bottom