Recent content by mwananondo

  1. M

    Meneja kampeni: Lowassa atashinda kwa asilimia 82

    Hivi ndugu, hizo milioni 398 Si zingeweza kusaidia hata kule hospitalini maana madawa hamna na mambo ya msingi watu wanayakosa huduma za kijamii. Hivi tujiulize hao wanaopata hapo milioni100, wengine 21 ni kutokana kwa kipi haswa walichokifanya mpana wapaye pesa zote hizo?? Haya ni matumizi...
  2. M

    Hii kwangu ni ndoa ya mwaka

    Hii mbona inawezekana, sema tu labda wote mume na wake zake wawe wachaMungu hapo ndo wataishi ivi. Maana siku hizi unakuta watu hususan wake wenza wanagombana sababu kubwa ni kutokunshiba Mungu, na baadhi ya wanaume nao pia wanakosa kutenda haki kwa wake zake kwa usawa, mfano akimpa bi mkubwa...
  3. M

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    Hivi kwanza, ni wagombea wote tayari wamesha thibitisha kushiriki au ni wale wale watatu tu?
  4. M

    Kinachopooza kampeni za Magufuli ni nini?

    Lowassa ndo rais anaye bisha yy aendelre kubisha, ila ukweli ndo huo.
  5. M

    ITV mnaficha nini kwa Lowassa? Picha ya Bukoba leo mmedanganya?

    Kama haikuwa ya Bukoba, mbona maneno aliyokuwa anayasema yalikuwa yanaihusu Bukoba? Inawezekana kweli ITV wameonyesha picha siyo, na maneno pia wamemtengenezea? be seroius ndugu.
  6. M

    ITV mnaficha nini kwa Lowassa? Picha ya Bukoba leo mmedanganya?

    Anaweweseka huyo, walishazoea kusema oooh Lowasa mgonjwa hawezi hata kushika hata mike Zaidi ya moja na wakiwa wanamfananisha na Magufuli. sasa leo wameona mzee ameshika mike Tatu mkononi.
  7. M

    Ukawa wekeni hili wazi

    Hakuna aliye kuwa msafi, ila ccm tokea miaka ya 60 ambapo inamiaka Zaidi ya 50 ktk kushika dola lakini mabadiliko waliyo yaleta hayaridhoshi hivyo ni bora wakae pembeni tuwape na wengine tuone watafanya nn. Na hiwezi kusema ukawa hawawezi kuleta maendeleo au hawana uwezo wa kuongoza nchi kama...
  8. M

    Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

    Mmmmh!!! Mijini watu wanajitambua sijajua kwa ndugu zetu wa vijijini, maana hivi kupewa wali maharage kunaweza kupelekea kuuza kura zao kweli?? Mabadiliko yanahitajika
  9. M

    Mtoto wa miaka 10 ajiunga na Chuo Kikuu kusomea Hesabu

    Yani ni kumuomba.Mungu tu atujaalie watoto wenye akili pamoja na kujua elimu ya dini(kumjua Mungu)
Back
Top Bottom