Recent content by Mwanamutapa

  1. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Wafundishwe juu ya failure? Miaka 25 haupo Klabu Bingwa ufundishwe nini? Wachovu Cup bhana dah
  2. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Ambazo ni za kibinadamu kuliko nyani na tumbili. Akili zenu mshipa wake umeunganishwa na mshipa wa matako
  3. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Akili ndogo za kinyaninyani ama kweli nyani ni nyani tu. Simba kacheza nusu fainali Klabu Bingwa Afrika mwaka 1974 na kutolewa na Mehala Al Kubra walioenda kuwa mabingwa mwaka huo. Wewe Yanga nusu fainali Klabu Bingwa Afrika umewahi kucheza lini? Tumbili bhana wako kitumbilitumbili na juu ya...
  4. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Unacheza kama second chance umefikaje huko wachovu cup? Kwa kutolewa Klabu Bongwa hoja yako ni ipi?
  5. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Jibu kutumia akili hizo fedha alizoanza kutoa mama alipewa Yanga pekee? Simba hakuwa akipewa ? Alikuwa nusu final? Hoja ni kwamba why Mama aanze mwaka huu baada ya Yanga kuchomoka makundi ya CAFCC wakati Simba kafanya vile miaka miwili mfulilizo kabla ya Yanga na hatujuona fedha toka kwa Mama...
  6. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Simba alishacheza fainali za makombe haya ya kichovu. Always Simba huanza . Unaongelea miaka 30 iliyopita ndiyo umelipa mwaka huu
  7. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Kweli kabisa halafu anafanya upendeleo. Mambo ya ajabu sana wangekuwa ni Yanga kelele zake tungeshika adabu. Simba ustraabu mmezidi
  8. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Unaposema fainali kwanza mashindano yapi? Hukuwa na Simba klabu Bingwa Afrika? Ulitolewa huko lini? Ukaponea kanuni za CAF kwenda kucheza kwa wabovu unaropola nini? Kuna timu yeyote ya maana umecheza nayo huko uchovuni?
  9. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Tusijibu kama hatuna uelewa. Naongelea seasons alizokuwa anacheza Simba bila Yanga kuwepo Mama alitoa pesa? Talking back 2022 na 2021. Mpaka Yanga aje ndipo motisha zitoke? Mambo ya ajabu sana haya
  10. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Soma hoja siyo kuita names, kocha wenu alipowaita manyani vipi? So nipo mwanafamu najadili na nyani kima na tumbili? Apes from Jangwani? Tafadhali sana. Nasema hakuiona Simba na kutoa motisha ilipokuwa inashiriki mpaka kasubiria wachovu Yanga ndiyo aanze motisha?
  11. M

    Upendeleo wa wazi kwa Yanga si mzuri kwa tasnia ya mchezo wa soka nchini

    Nachukua nafasi hii kuwapongeza Yanga kufika fainali ya CAFCC kwa mwaka 2023 lakini pia nachukua nafasi hii kutokubaliana na upendeleo wa dhahiri uliofanywa na Mama kwa klabu ya Yanga Ni jambo la kushangaza Mama ana miaka 3 madarakani na katika muda huo kaikuta Simba ikishiriki mashindano haya...
Back
Top Bottom