Recent content by mwanamtwa nguvukazi

  1. M

    Hivi hawa wabunge wa Tabora wanafanya nini bungeni?

    Hata wahenga walishapata nena "mzigo mzito mkabidhi mnyamwezi"
  2. M

    Ambulance na Chopa za CHADEMA bado azijafika kutoka Uingereza au ilikuwa usanii wa Lema

    Una kirara eeh? usihanye cyo dili kama la chechemea kuchomoa mpunga B.O.T na account inayofunguliwa asubuhi jioni zinawekewa mafweza. zitakuja tu. hilux za m4c zinawahenyesha sembuse helkopta?
  3. M

    Tanzia: Diwani wa Makuyuni-Monduli (CCM) afariki Dunia

    :rip: dIWANI. kazi ni kwao kwa wananchi wa kata ya makuyuni wilaya ya Monduli, WACHAGUE GWANDAAMA GAMBA. yaan hapo ni LEMA vs LOWASSA.
  4. M

    LEMA ahame chama?

    loading...................!
  5. M

    Lema: Sikuogopa nilipoona mwanajeshi anapiga picha na mimi

    mgonjwa ameanza kutapika kila akilacho, cjui wanaenda wapi hawa wazee wa jembe na nyundo enzi hizi za marobot, computer na ulimwengu wa digitali kwa ujumla.
  6. M

    PICHA: Mererani mwanajeshi ajitoa mhanga

    Dah! kashapoteza ajira tayari. ila serikali ikae ikijua kuwa watu wamechoka kila mahala na sasa wajipange kurudisha imani kwa wananchi wake.
  7. M

    Uthibitisho wangu kwamba Ben Saanane/Mamuya ni watu hatari ndani ya chama

    fukuza kundi zima hili, lina tamaa na matumbo yao binafsi swala ni utaifa wao wanatuletea kuvuruga chama. nyambafu zao.
Back
Top Bottom