Una kirara eeh? usihanye cyo dili kama la chechemea kuchomoa mpunga B.O.T na account inayofunguliwa asubuhi jioni zinawekewa mafweza. zitakuja tu. hilux za m4c zinawahenyesha sembuse helkopta?
mgonjwa ameanza kutapika kila akilacho, cjui wanaenda wapi hawa wazee wa jembe na nyundo enzi hizi za marobot, computer na ulimwengu wa digitali kwa ujumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.