Recent content by mwanamimi

  1. M

    KERO UDSM Wafunga Vyoo vya Umma Kutokana na Ukosefu wa Maji

    Aisee hii ni janga kuna siku mvua ilinyesha nipo hapo nimejikinga, hapo maji yalikuwa mengi , nikajiuliza hawawezi kubuni mfumo wa kuhifadhi maji, mfano kule chini barabara ya kwenda shule kupitia geti la mugufuli hosteli, kuna kabwawa maji yote yanaishia hapo kisha kwenda mtoni. wangeweza...
  2. M

    GE2025 Tuelimishane: Mbunge huyu anayewakilisha wenye ulemavu atakuwa anatoaje hoja bungeni?

    Sheria na kanuni za bunge haziruhusu mtu asiyehusika kuwepo ndani ya bunge hivyo kumemfanya mkalimani wake kushindwa kuwepo ili kumkalimia.hata hivyo wanafanya utaratibu kurekebisha vifungu ili mkalimani aweze kuruhusiwa kumsaidia huyu mama.
  3. M

    APPRECIATION: Asanteni sana JWTZ walau kwa hicho kidogo mlichofanya

    Bila hao Hali ingekuwa mbaya zaidi.maana ilifikia hatua vijana hawaogopi risasi
  4. M

    GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    Huku mwanza . kisesa, mpaka sinai hakukaliki, wamepiga risasi watu juu ya milima wanawazomea,kilichofuata ni palakashika, machinjioni hakukaliki, JWTZ wamekuja na kufaru ndio wametuliza wanaichi wakaandamana nyuma ya gari za jeshi kufika sinai hapo mbele kituo cha polisi kimepigwa mawe mno...
  5. M

    GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    mkuu lucas huku kwa ground mambo sio shwali , risasi zimepigwa tangu usiku na baadhi ya watu wamepigwa risasi lakini ndio kama wanachochea moto. bado mambo sio shwali. acha uchawa, mpaka polisi wanatangaza wanainchi wasiharibu ofisi za umma.
  6. M

    Hakuna maandamano tena itakuwa siku tulivu mno

    Nilikuwa nachukulia kawaida lakini mkuu mambo ndivyo sivyo.usipuuzie
  7. M

    Hakuna maandamano tena itakuwa siku tulivu mno

    mkuu kama kuona auoni hata kusom.a majira na nyakati usomi
  8. M

    GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    mkuu mshana mambo sio shwali kabisa ni gelesha ya wanaichi tu inasubiliwa
  9. M

    GE2025 Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025: Matukio na taarifa Mubashara za Uchaguzi

    Tupo pamoja kwa update mpaka mwisho wa dahali
  10. M

    GE2025 Ukiiona Mwanza imekubali ujue ushindi unakuja. Hongera Rais Samia

    Mkuu kuisema mwanza unatuonea sisi wana mwanza, watu wameletwa kutoka, shinyanga, bariadi, ukerewe, musoma, bunda,geita, katoro, ngara, biharamulo,chato, nzega, tabora mpaka dodomo kwa ajiri ya kampeni tu. pia note this mwanza is loading
  11. M

    Wakuu, fawanews vipi tena?Siku ya tatu hii naijatibu imegoma

    Imebaddilishwa kidogo.search FAWANEWS.SC.
  12. M

    Hivi tatizo la kutosikia vizuri ni tatizo kubwa zaidi duniani?

    Mkuu wewe ni Mimi kabisa pale hear well clinic. Yule daktari aliniambia Mimi pia hivi hivi kwamba tunakupa Ila guarantee ya kupono ni nusu kwa nusu .
Back
Top Bottom