Aisee hii ni janga kuna siku mvua ilinyesha nipo hapo nimejikinga, hapo maji yalikuwa mengi , nikajiuliza hawawezi kubuni mfumo wa kuhifadhi maji, mfano kule chini barabara ya kwenda shule kupitia geti la mugufuli hosteli, kuna kabwawa maji yote yanaishia hapo kisha kwenda mtoni. wangeweza...
Sheria na kanuni za bunge haziruhusu mtu asiyehusika kuwepo ndani ya bunge hivyo kumemfanya mkalimani wake kushindwa kuwepo ili kumkalimia.hata hivyo wanafanya utaratibu kurekebisha vifungu ili mkalimani aweze kuruhusiwa kumsaidia huyu mama.
Huku mwanza . kisesa, mpaka sinai hakukaliki, wamepiga risasi watu juu ya milima wanawazomea,kilichofuata ni palakashika, machinjioni hakukaliki, JWTZ wamekuja na kufaru ndio wametuliza wanaichi wakaandamana nyuma ya gari za jeshi kufika sinai hapo mbele kituo cha polisi kimepigwa mawe mno...
mkuu lucas huku kwa ground mambo sio shwali , risasi zimepigwa tangu usiku na baadhi ya watu wamepigwa risasi lakini ndio kama wanachochea moto. bado mambo sio shwali. acha uchawa, mpaka polisi wanatangaza wanainchi wasiharibu ofisi za umma.
Mkuu kuisema mwanza unatuonea sisi wana mwanza, watu wameletwa kutoka, shinyanga, bariadi, ukerewe, musoma, bunda,geita, katoro, ngara, biharamulo,chato, nzega, tabora mpaka dodomo kwa ajiri ya kampeni tu. pia note this mwanza is loading
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.