Wakuu paka saizi pm kuko kimya inamaana hakuna wapiga Dili? Daah basi ngoja tuenndelee kupambana kupata mitaji kwa njia ingine
Ila alieanzisha kikokotoo ametuzingua Sana has vijana na wale wanaokomalia kikokotoo nadhani hayajawakuta au wana masrahi nacho
Pia nimefatilia nasiki kuna ngazi...
Labda ilikua bahati yake mkuu au labda wenyewe ndio wakijichanganya Mimi pia nimeandika barua Tena mapema kabisa baada ya kuingiziwa pesa kwa mwezi wa kwanza
Hauwezi kwenda na hasira wakati kwenye sheria wapi sahihi na wamenupa maelezo ya kutosha na Sheria injieleza wakanipa na nyaraka tatizo...
Boss unaanzaje kukataa wakati pesa inaingia bank? Baada ya pesa kuingia niliwafat ndio wakanipa hizo Sheri zao lakini nikawakomalia San kwamba wnipe hel zangu Mimi nikakomae na biashara zangu nikaandika hadi baraua makao makuu kuwaambia Mimi nilikua nafanya kazi kama kibarua tu lakini mwezi...
Bob wakati wa kuajiriwa Kuna mambo mengi ajira hakuna kwaio watu wanafanya kazi za ajabu Ili maisha yaende kwaio huwezi kusema Mimi nna degree alafu uajiriwe kama kibarua kwenye kampuni za ujenzi
Kwaio unaenda kama darasa la Saba au form 4
Ukianza kufatilia mafao ndio wankupa form za kukaza...
Yaah walinilipa kwa kila mwezi yani mwisho wa mwezi kwa Mimi nilikua nachukua laki 2 kwa miezi 6 alafu baada ya hapo kama hujapata kazi basi unasubirbmiezi 18 kama Bado hujapat kazi unaenda kuwaomba uwe unajichangia paka ufikishe umri wanaoutaka wao
Sasa laki mbili kwa mwezi unaishije? Alafu...
Wakuu habari zenu. Poleni na majukumu ndugu zangu
Mimi nilikuwa nafanya kazi katika kampuni ya ujenzi ya Waturuki inaitwa Yapi Merkezi inayojenga reli ya SGR ambayo kwa sasa iko lot 3. Kwa sasa kazi imesimama na hakuna kinachoendelea.
Sasa sisi tulipumzishwa kuanzia mwezi wa kwanza kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.