Walevi kama kitwanga huwa hawaoni uchungu kulipa Double au triple taxation au zaidi ya hapo wanapokunywa pombe?
Anaandika Erasmos Kwayu,
Jana ameibuka waziri aliewahi kutimuliwa wizarani kutokana na ulevi wa kupindukia, Ndugu kitwanga, bila kuona haya anaisimanga serikali juu ya utozaji wa...
Walevi kama kitwanga huwa hawaoni uchungu kulipa Double au triple taxation au zaidi ya hapo wanapokunywa pombe?
Anaandika Erasmos Kwayu,
Jana ameibuka waziri aliewahi kutimuliwa wizarani kutokana na ulevi wa kupindukia, Ndugu kitwanga, bila kuona haya anaisimanga serikali juu ya utozaji wa...
MBOWE ALIPENDWA KWA HADAA ZA MANENO YAKE, SAASHISHA ANAPENDWA KWA UHALISIA WA MATENDO YAKE
Na Manka Lema, Mwananchi Wa Jimbo la Hai
Leo katika pitapita zangu na ka-starlet kangu nilitembelea kiwanda chenye historia kubwa mkoani kilimanjaro kiwanda cha Machine Tools kujionea uwekezaji mkubwa...
Unazungumzia hai IPI? Hai hii mpya ya Saashisha Mafuwe imeshabadilika, barabara, madaraja, viwanda na maji yameshaanza kufanyiwa kazi
Mbunge anakaa vikao kila kona kuanzia losaa hadi soko la mula, Upareni hata shirimigungani
Wewe unazungumzia hai ile ya ufalme uliofitinika.
Kwa sasa wananchi...
NAKUANDIKIA SAASHISHA MAFUWE, UMETUHESHIMISHA
Naandika Manka Lema, Mwananchi wako wa kata ya Muungano.
Kaka kwashaa, Nakiri sikukupigia kura mwaka 2020, najuta,naumia lakini sitarudia kosa. Watu watakuwa wanajiuliza Kwanini najuta? Ngoja niwaoneshe, Sisi wananchi wa jimbo la hai tumesumbuka na...
MBOWE UMEZEEKA SASA, ACHA KUTENGENEZA ZENGWE JIMBONI HAI, WANANCHI WALISHAAMUA KWENDA NA SAASHISHA MAFUWE
Na Rogan Swai, Narumu Blog
Habari za Siku nyingi Mwenyekiti wa kudumu wa Chama chetu Cha Ufipa, natambua unaendelea na matibabu Kwasasa baada ya afya yako kuzorota Kwa muda Fulani, pole...
Mbowe ni Babu Kwa sasa amepoteza mvuto wote wa kisiasa katika Jimbo la hai ndio maana alikodi kwenye mapokezi yake, wanaHai hatumtaki
Hivi Mbowe hajui kuwa Saashisha Mafuwe kasimamia Jumla ya Tshs 160,000,000.00 Fedha za UVIKO -19 zimepokelewa kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya Ujenzi wa Bweni...
Alichoandika Malisa Leo juu ya Saashisha kimemshushia hadhi sana, nilikuwa mdau wa kuchangia sana kampeni zake za Facebook Ila Kwa hili kajiharibia hanipati tena
Sabaya hakuwahi kukifungia kiwanda cha Daren fabrics kama inavyopotoshwa na Malisa Godlisten, hapa chini naambatanisha video yenye ushahidi wa kilichotokea siku ya tukio, ambapo ndugu Speshoz mmiliki wa kiwanda hicho alikubali kosa la kutofuata utaratibu halali wa serikali na kukiri kuufuata...
SABAYA NAKUHURUMIA HUKUMJUA MBOWE NI NANI?
Wakati unahangaika na mambo ya Ardhi, Mambo ya Qnet, Mambo ya Watumishi wa Umma, kutatua changamoto za wananchi wa Hai Tulidhani Dhamira yako ni ya kweli kumbe Target yako ni kutafuta wafuasi watakaokuunga mkono ili kumdhalilisha Mbowe.
Kitu ambacho...
Makamanda peoples!
Hawa watu waliusumbua sana uongozi wa kaka Freeman Mbowe kule hai Kilimanjaro, hawakuijua nguvu ya Kaka Mbowe hapa nchini sasa watajifunza namna ya kudeal na kiongozi wetu.
Never Again
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.