me nadhani kma yanayosemwa yana ukweli basi umeisha expire kwani yalitakiwa wakati ule walioyatoa wapo kwenye madaraka sasa hivi hayana maana kwani mavi ya kale hayanuki!!!wasiongee kwa hasira wamechelewa!
Tuwe wakweli ccm mwaka huu wana wakati mgumu sana,kwani wanalazimisha wananchi kwenda kwenye mikutano yao, nimesikitishwa sana na hawa wenzetu wa ccm jana kwenye kampeni zao wamewalazimisha wanafunzi wa shule za msingi tena bila aibu na uniform zao waje wajaze uwanja,kweli wamefilisika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.