Recent content by mwanamabadiliko

  1. M

    Kwanini wanatenguliwa Wakurugenzi wa Halmashauri pekee na Si wa taasisi?

    Serikali ya CCM Kila siku inatumbua wakurugenzi wa Halmashauri, ambapo naona ni uonevu kwa kiasi Fulani. Serikali aigusi wakurugenzi wa taasisi za serikali, ambao ni wakurugenzi wa vitengo mbalimbali, ambao wengi hawana utendaji mzuri hata kidogo, na Wana mishahara mikubwa, mara nne ya...
  2. M

    Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo

    Lugha sahihi ninkuwa wanoko wamempa mama barua Ili kusaini barua ya kumtengua KIUNO Mkurugenzi wa mafia kwakuwa Wana mtu wao wanatoka kumueka
  3. M

    Naomba kujua, tiles zipi Bora 50*50, 60*60, 40*40

    Inamaana watu hawajengi, nipo dukani nasubiri majibu
  4. M

    Naomba kujua, tiles zipi Bora 50*50, 60*60, 40*40

    Napokea majibu japo ni ya kuunga unga
  5. M

    Naomba kujua, tiles zipi Bora 50*50, 60*60, 40*40

    Mh hapa kama umeongea kichina, hujaeleweka. Halaf Kila box ya tile Ina ukubwa inayoweza kujenga na si lazma iwe MITA moja
  6. M

    Naomba kujua, tiles zipi Bora 50*50, 60*60, 40*40

    Kwahiyo hapo mtaalamu ipi ni bora
  7. M

    Naomba kujua, tiles zipi Bora 50*50, 60*60, 40*40

    Siweki uzi mrefu, Kuna kitu kina nitatiza, nataka kujua marumaru ipi ni Bora kati ya 69*60, 50*50, 49*40, 30*30 Kinachonichanganya zaidi ni box moja la 60*60 linajenga square MITA 1.44 ndo ghali zaidi. 50*50 box boja inajenga skwea MITA 1.75 bei raisi kuliko 60*60 Za 40*40 hizi box moja...
  8. M

    Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

    Napokea maneno haya ya Faraja na nitayafanyia kazi
  9. M

    Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

    Ni kwamba hamna sababu, it's just happen to be like that
  10. M

    Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

    Hicho kitu hakipo, amenizidi mbali sana. Hatulingani
Back
Top Bottom