umesahau tu kuwa hamtuzidi kwa kila kitu, mi nakukumbusha moja tu kwamba sisi tunawazidi kwa kiwango kikubwakufanya maamuzi mhimu kwa haraka bila ajizi mfano ni lile suala la bomba la mafuta kutoka Uganda kuja tanga badala ya Mombasa.
hawa hawafai hata kuwa viongozi kwani maamuzi yao ni bora hata yangefanywa na walevi waliolewa chakali tungesema hizo ni pombe tu zikiisha kichwani watabadilisha maamuzi. badala ya kupunguza umbali kupata huduma wao wanawaongezea watu umbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.