Jamani wanaume huwa watoa weekness pointi za wake zao kwa hao wanawake wa nje, mf. utasikia mwanamume anasema nyumbani sifanyiwe hiki wal hiki so yule wa nje anapata nafasi ya kufanya hivyo, na wanakuwa washindi. WANAUME KUWENI HURU KUZUNGUMZA NA WAKE ZENU NINI MFANYIWE ILI MRIDHIKE. Pili ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.