Wakuu wote,napenda kuwaambai kwamba miradi yote mikubwa unayoisikia hapa nchini siyo endelevu na ina malengo fulani kwa watu fulani. Na pia hao wanaoipitisha ni watu waliopitwa na wakati maana watu hao hao ndio kila siku wanapishana kwenye viwanja vya ndege vilivyokwenda shule halafu...
Wakuu naomba na mimi nichangie kidogo kuhusu hoja hii, kwanza ieleweke hiki kinachoitwa highway kimepoteza maana yake hapa Tz maana watu wamehamishia makazi kuwa kando kando za barabara na hata ukiangalia shule nyingi zimejengwa kando kidogo tuu ya barabara na makazi yanaendelea kujengwa kandoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.