Sasa hapo kuna hoja au kioja tena kutoka kwa mtu anaetumainiwa kushika hatamu ktk chama, inawezekana wamechoka kwasabb pengn hawana kazi ya kuwapa kipato kikubwa hivi ulitaka ccm iwape mapesa ili mseme.....hali yao hiyo ni uthibitisho kuwa ccm hainunui wanachama kama mleta uzi alivyodai
Unadhalilisha Jina la nyerere kwa kuandka uongo wa kitoto kama huu, nimekudharau bure....
Halafu kama chadema inajivunia vijana kama wewe basi kweli chadema imefilisika
Siku gani mkuu na uchaguz ndo huo unabisha hodi kama ushahidi upo uwekwe hadharan na ukizingatia kuwa serikal haitaki kuunda iyo tume ya kimahakama(kwa maelezo yako). Ninavyoijua chadema kwa mihemuko waliyokuwa nayo wangekuwa na ushahidi wangekwishakurupuka na kuropoka, tunajua 2015 mtakataa...
Naomba uthibitisho kuwa chadema ni mpango wa mungu.... Pia si vyema kuwahukumu wengne kwa kuwaita mashetani ayo tumuachie mungu yeye ndo anajua ya siri na dhahiri coz hao unaodhani ni wema (mbowe, slaa n.k) sidhan kama unajua siri zao. Ushauri tu.... Tujenge hoja za kisayansi na sio kutuletea...
Booking info: Diamondplatinumz@gmail.com
Jamaa katisha ngoma zote mbili..... Na nyie ambao mmeathiriwa na ukoloni(hamkubali vya nyumbani) polen sana...
Swadakta! Na hili ndo tatizo la wapinzan hasa chadema ukiwakosoa wanakwambia mbona ccm wanafanya hivi.... Basi haina maana ya chadema kuwepo km mnacopy na kupaste ktk ccm
Haka kamnyika kameishiwa, Jimbo limemshinda kutwa kelele....siku zake zinahesabika, By the way mshaurini atafute mke kabisa kama Nassari coz baada ya 2015 atakuwa hana hela ya kuoa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.