Recent content by Mwana parokia

  1. M

    JamiiForums Tanzania Huyo unayemfanyia fitina kazini anategemewa na watu zaidi ya 5 hiyo laana ya ukoo mzima haitokuacha

    1.Wakati naanza kazi nilikutana na jamaa anaitwa GEORGE MSANGI (Mpare) alikuwa na Elimu ndogo sana kwangu na nilimkuta yeye ndiye mkuu wa Idara .Baadaye Boss alibadilisha wakuu wa Idara nikachaguliwa Mimi yule Mpare alifanyia visa mpaka nikaacha kazi Mwenyewe . 2.Nikapata kazi Mbinga nikakutana...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Huyo unayemfanyia fitina kazini anategemewa na watu zaidi ya 5 hiyo laana ya ukoo mzima haitokuacha

    Kuna muda niki kumbuka natamani kulipa kisasi lakini nasita !! Majina ya akina George, Emmanuel and Michael ni majina magumu sana kwangu!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari la kutembelea budget yangu ni TSH 5M

    Ngoja nimsake sasa hivi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari la kutembelea budget yangu ni TSH 5M

    Thank you !!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari la kutembelea budget yangu ni TSH 5M

    Mimi nipo Zanzibar Kwa muda natafuta gari la kutembelea liliko kwenye hali nzuri budget yangu ni maximum Tsh 5M Nawasilisha!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ukanda pwani kuoa na kuacha ni kama kumsukuma mlevi. Yaani mwanamke anaachika nakuolewa hata mara tano, kwao kawaida sana

    Daaah nimewahi kukutana na Sala ya Kanisa Katoliki Imeandikwa SALA YA KUWAOMBEA WASHENZI WA AFRIKA !
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Amesema marehemu ! Utampata wapi marehemu?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi Sadaka yangu ya mwezi huu July kwenda CHADEMA

    Sadaka ni siri ya mtoaji !!Na kesho tena natoa
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi Sadaka yangu ya mwezi huu July kwenda CHADEMA

    Ushahidi upi unahitaji ?Wewe unatumia makalio kufikiri huwezi kuelewa furaha hii ya utoaji ?Unaishi Kwa kupewa pesa za damu huwezi kuelewa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi Sadaka yangu ya mwezi huu July kwenda CHADEMA

    Ameen
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi Sadaka yangu ya mwezi huu July kwenda CHADEMA

    Aibu ni kwako Malaya wa kisiasa !Aibu ni kwako unayetumia Makario kufikiria Aibu ni kwako unaye ishi Kwa shikamoo ya Samia na makonda
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Afcon 2027 kuota mbawa Tanzania, Rwanda kuchukua nafasi

    Ndiyo tumefikia huku mliko taka nyie Malaya wa siasa wa CCM !!Na bado
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi Sadaka yangu ya mwezi huu July kwenda CHADEMA

    Sijakuelewa
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi Sadaka yangu ya mwezi huu July kwenda CHADEMA

    Amina
  15. M

    JamiiForums Tanzania Nimefurahi Sadaka yangu ya mwezi huu July kwenda CHADEMA

    Moyo wangu umejawa na furaha kama Ile ya Abel (Habil) baada ya kutoa sadaka ya kukubalika mbele za Mungu. Ingawa sadaka ya Abel ilikuwa na wivu dhidi ya ndugu yake Kaini.
Back
Top Bottom