1.Wakati naanza kazi nilikutana na jamaa anaitwa GEORGE MSANGI (Mpare) alikuwa na Elimu ndogo sana kwangu na nilimkuta yeye ndiye mkuu wa Idara .Baadaye Boss alibadilisha wakuu wa Idara nikachaguliwa Mimi yule Mpare alifanyia visa mpaka nikaacha kazi Mwenyewe .
2.Nikapata kazi Mbinga nikakutana...
Moyo wangu umejawa na furaha kama Ile ya Abel (Habil) baada ya kutoa sadaka ya kukubalika mbele za Mungu.
Ingawa sadaka ya Abel ilikuwa na wivu dhidi ya ndugu yake Kaini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.