Ndiyo maana mnaambiwa muoane na wa kufanana nao, wapo wanaopenda kufanya kila mara au kila siku, na wasiopenda. Mnapotaka oana mjuane pia kwa hilo. Siyo mnakuja kutumalizia bando kwa kesi zisizokesi.
Kama hadi na hizo fani unahitaji tukuchagulie mzee baba... Bas endelea tu kuaa home kwanza. Ahh namaanisha aendelee kukaa home kwanza huyo jamaa. Mbona zipo nyingi tu, ni hizo shughuli unazoona semi skilled labour wanafanya.
Anaweza hata kujifunza fani yoyote nyingine mtaani itakayomuingizia kipato, zipo shughulu ambazo zinachukuliwa poa sana mtaani, lakn zinaingiza kipato kinachoweza kufaa kujikimu. Siyo lazima kuangalia zaidi ajira inayohitaji elimu ya darasani.
Kwa uzoefu wangu mdogo nilionao kuhusu mtaa, ni mkwamba mtaji wa laki 1 au 3 ni ngumu mno kutoboa (ingawa mtaji wakati mwingine siyo hoja sana), ila wachache sana wanatoboa na hicho kiwango cha mtaji. Sasa ninachoweza kumshauri ni kuweza kujitofautisha na vijana wengine kwa kujiongezea elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.