Recent content by mwamirukokerwa

  1. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    lumumba sehemu gani mkuu ofisi ipi?
  2. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    nilisha ahirisha sana miaka hiyo hela ya kusave bado matatizo yalikuwa hayaishi so bado nilikuwa naitumia kumaliza matatizo mapya yaliyokuwa yanajitokeza
  3. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    wametoa wiki mbili so by tarehe 20 inabidi niwe nishapata ada angalau ya kufanya registration
  4. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    but mkuu shule ndo the best thing ever in life kwa watu maskini,
  5. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    mkuu sina hata mia yaani hapo inahitajika laki5 plus elfu tano ya kitambulisho ili nianze masomo
  6. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    dah tarehe tano leo siku ya kureport sina hata mia ya kwenda nayo.
  7. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    wakuu bado sijapata msaada
  8. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    kwanin mkuu?,but asante kwa ushauri
  9. mwamirukokerwa

    Msaada ada university of dar es salaam

    habari wanajf naomba msaada wa ada. nimepata nafasi ya kusoma university of dar es salaam COICT, Diploma in Computer science. ada ni milioni mbili kwa miaka miwili yote, but semister ya kwanza inahitajika laki 5 na elfu tano ya kitambulisho accomodation na other fees ni kama books and stationary...
Back
Top Bottom