nilisha ahirisha sana miaka hiyo hela ya kusave bado matatizo yalikuwa hayaishi so bado nilikuwa naitumia kumaliza matatizo mapya yaliyokuwa yanajitokeza
habari wanajf naomba msaada wa ada. nimepata nafasi ya kusoma university of dar es salaam COICT, Diploma in Computer science.
ada ni milioni mbili kwa miaka miwili yote, but semister ya kwanza inahitajika laki 5 na elfu tano ya kitambulisho
accomodation na other fees ni kama
books and stationary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.