Ukiwekeza katika utumishi mwema,kuheshimu kila mmoja ni dhahiri kuwa WEMA NI AKIBA ndicho hasa tunakiona kwa Dr. Mwinyi aliwekeza wema na sasa atavuna matunda ya wema wake kwa waPEMBA na waZanzibar kwa ujumla wao
Ulipoanza nikajua kuna kitu ndani yako ila nimegundua kama ni wapumbavu basi wewe ni mpumbavu mkubwa kwakua kwakushindwa kujibu hoja hizo umetanguliza upumbavu na upuuzi, hakuna hofu katika uchaguzi huu na magufuli atashinda kwa asilimia zaidi ya 80
Hatutaacha kuwakumbusha ninyi pamoja na viongozi wenu kuwa propaganda hazikupi kura ila sera, umemsikia Dr. Mwinyi akizungumza propaganda yoyote leo? yuko very straight na sera zake na mikakati, sasa tutege sikio kesho, yaani upinzani wa bongo ni wa hovyo walopokaji wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.