Habari njema ni kwamba zanzibar wanampenda Dr. Hussein Mwinyi
Shein aliahidi by the time anaondoka madarakani Zanzibar ingekuwa kama Dubai. embu mliotembelea Zanzibar recently mtujuze Dubai mpya huko yaonekanaje?Chama Cha Mapinduzi Zanzibar leo tarehe 12 Septemba 2020 kinafanya mkutano wa uzinduzi wa Kampeni zake katika Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti. Mgombea wa Kiti cha Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dokta Hussein Ally Mwinyi ataeleza dhamira yake ya kuitumikia Zanzibar...
Ni kweli kabisa sidhani kama mtanzania mwenye akili timamu anaweza kufikiri kua Raisi atakua yule mzee mwenye tamaa ya madaraka.Dkt Hussein Ally Mwinyi ana sifa zote za kua Rais Wa Zanzibar.
Hamna ishu, endeleeni kukusanya watu na wengine kuwaleta kwa mitumbwi waje waonekane wengi.Mkijaamka toka kwenye ndoto zenu za mchana Mwinyi ndio atakua anatoa hutoka kama Rais wa Zanzibar, endeleeni na propaganda mwinyi anatoa sera uko
Kusanyeni sababu na malalamiko yote kabisa ili baada ya trh 28 muwe na chakuzungumzaHamna ishu, endeleeni kukusanya watu na wengine kuwaleta kwa mitumbwi waje waonekane wengi.
Kikichotokea Mwanza ni mafuriko ambayo yaliwafanya wapinzani wabadilishe ratiba za Kampeni hadi leo wengine hawaelew waanzie wapi
Hatuhitaji trh 28 ifike ndio tuzungumze, mwaka huu ndio mmejiabisha mno, mpaka najiuliza, CCM Zanzibar hamkuumbwa na aibu ndani ya nafsi? mkafoji form yaani mlivo wajing.a form inasema tarehe 7 mwezi wa 7 ndio kala kiapo, ilhali ni siku ambayo hakuna ofisi za serikali. AIBUUUUU kuliko ile ya 2015! Tutakurudisha kwenu kwa mtumbwi!Kusanyeni sababu na malalamiko yote kabisa ili baada ya trh 28 muwe na chakuzungumza
Mzaramo kapelekwa kwa wamakunduchi,,, duu zanzibar kazi mnayo msipojiongezaChama Cha Mapinduzi Zanzibar leo tarehe 12 Septemba 2020 kinafanya mkutano wa uzinduzi wa Kampeni zake katika Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti. Mgombea wa Kiti cha Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dokta Hussein Ally Mwinyi ataeleza dhamira yake ya kuitumikia Zanzibar...