Rais Magufuli ni mtu mwema sana kama Tulivo binadamu wengine wote..
Baadhi ya watz wamekuwa hawamwelewi na kujaribu ku slander kauli zake..
Magufuli anakiamini like anachokizungumza pasipo kujali utamchukuliaje ..ni watu wachache tena wanasias ambao huongea maneno bila kuyapangilia ili tu...
Again kijana wetu anazidi kutuwakilisha vyema kimataifa sas yuko nominated kwenye TUZO KUBWA ZITAKAZOFANYIKA MAREKANI November mwaka huu..
Mpigie kura diamond katika kipengele alichowekwa kama msanii mwenye ushawishi zaidi barani AFRICA ..kipengele hicho anashindanishwa yeye na wasanii wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.