Vyote ulivyovitaja (umeme, internet n.k) vinaenda kwa kasi zaidi kuzidi huo uhamisho. Hivyo nadhani maamuzi ya kuhamia hayajaathili kitu, wacha tuhamie maana Dodoma nako ni kwetu hatujatoka nje ya Tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya binti ni dhambi pia. Ila ya kumkata mwenzio pesa aliokosea kutuma, hujamtendea haki kabisa, haki yako ilikuwa ukate ile utakayokatwa na muamala wa kutuma fedha.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.