Recent content by MWALLAnipo

  1. MWALLAnipo

    Mkurugenzi atumbiliwa kimyakimya kwa madai si kada wa CCM

    La viwavi wa kijani na njano pale lumumba. INZI WA KIJANI
  2. MWALLAnipo

    Mkurugenzi atumbiliwa kimyakimya kwa madai si kada wa CCM

    TUNAENDELEA KUMSHANGA KWA UKAUZU WAKE
  3. MWALLAnipo

    Mkurugenzi atumbiliwa kimyakimya kwa madai si kada wa CCM

    UMESAHAU NA WEWE MWENYEWE M'MBEYA NA UMEANDIKA UMBEYA 110%
  4. MWALLAnipo

    Mkurugenzi atumbiliwa kimyakimya kwa madai si kada wa CCM

    ULITAKA AWE KADA WA WAPI ..... POLICCM AU....
  5. MWALLAnipo

    Hongera sana CHADEMA Arusha kwa uongozi bora

    wazazi wako hawakukosea kukuita JINGALAO
  6. MWALLAnipo

    Taarifa kamili kuhusu adhabu ya Dk. Mwaka na wenzake hii hapa kuhusu tiba mbadala na dawa asili

    TUMESIKIA Ngoja sasa tuone mshukiwa atajibu au la....
  7. MWALLAnipo

    Jeshi la polisi latangaza kuwasaka BAVICHA popote walipo, wananchi wanaowaficha nao watakamatwa

    Dodoma — Police have warned that people who intend to disrupt the CCM special national congress planned for Dodoma late this month would face punitive action. Dodoma Regional Police Commander Lazaro Mambosasa said yesterday that there were signs that some unscrupulous people plan to perpetrate...
  8. MWALLAnipo

    Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

    TBC, TBC2 ndo mdudu gani huyu>???
  9. MWALLAnipo

    Lissu: Serikali hii (ya Magufuli) ni ya hovyo, huyu dikteta uchwara anahitaji kupingwa na kila mwananchi

    HUNA TOFAUTI NA LILEE LINALOTUMIWA KUOSHEA MAKALIO UKIWA MSALANI
  10. MWALLAnipo

    Serikali yakubali yaishe: Bunge kurushwa LIVE Redioni

    Mr. Magufuli katika teuzi zako ninahisi kuna makosa unayafanya ila unayafumbia macho lakini utambue sie wananchi wako tunafatilia kwa umakini mkubwa. Katika uteuzi wako upande wa habari. Huyu uliyempa hii nafasi tangu hapo awali tulishajua huyu ni mzigo na ukweli umethibitika haswa katika...
  11. MWALLAnipo

    Gwajima amwaga cheche, amshauri Rais Magufuli ahame chama kama CCM wakimnyima Uenyekiti wa chama

    HEBU MSIKILIZE VIZUUURI AFU UTOE MAONI YAKO KUHUSIANA NA HII HOTUBA YAKE JEE.. NI KIPI KIBAYA AU KIZURI ALICHONENA.. ILA NAONA KAMA AMEAMUA KUMWAGA MBOGA... SASA SI UNAJUA UKIMWAGA MBOGA MAMBO YANAKUWAJE.... KINACHOFUATAITA NDO HICHOOO MSIKILIZE HAPA...
  12. MWALLAnipo

    Sababu zinaoifanya serikali kupoteza mvuto

    hayo magari ya washawasha yawe yanafatilia hata vibaka wanopora katika mabenki. sio kufatilia maandamano ya wapinzani tuuuu KERO SANA
  13. MWALLAnipo

    Siri ya "Taarifa za kiintelejensia" itumiwayo na Polisi kuzuia shughuli za kisiasa yafichuliwa

    kuzuia siasa ni dalili za uoga tu. wamewatapeli wananchi wanaogopa wasianikwe utapeli wao mpaka 2020..
Back
Top Bottom