Nimekuta ajali ya basi limepinduka maeneo ya Arusha Airport sasa hivi. Sikuweza kupiga picha kwakuwa gari nilliopanda halikusimama. Sijajua ni basi gani na sina details nyingine. Naomba mwenye details atujuze tafadhali.
Ajali hii ilitokea kama mita 200 toka eneo la Police Check point pale Arusha Airport au Canada. Yani nadhani dereva wa basi ndo alikuwa ameachiwa tu na polisi na papo hapo akaovertake na kukutana na lori.
Arusha express ni kati ya mabasi yanayokimbia sana njia hii, lkn baya zaidi ni kwamba...
Mimi naona chenga chenga tu! Inavyoonekana, Escrow ni mtaji wa kisiasa kwa wanasiasa flani. All in all, bill 306 is too much to kuvumilika. Wananchi tuingie mabarabarani tuandamane kama Burkinafaso JK ang'oke coz ameshindwa kuiongoza nchi hii. Yeye Jk alihusika kuiingiza TANESCO kt mikataba hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.