Recent content by Mwalimu wa mjini

  1. M

    Dk Slaa amshukia JK

    jk nchi immemshinda cz amekalia ushikaji tuu wabunge walokataliwa na wananchi leo hii ni mabalozi!!! tatizo ni ushikaji tuu ndio anaouweza!!! tunaisubiri2015 hope lazma tumuondoe yeyote ataewekwa na ccm!!!
  2. M

    Walimu kuchukulia mishahara dirishani mwezi january.

    mi nashindwa kuelewa hawa jamaa wanatupeleka wapi? mkurugenzi anakazi gani? kisa eti wanahakiki waliopo kazini why?? je na wale waliopo masomoni itakueje? tubadilike hii ni 2012 so we have to be care!!!!!
Back
Top Bottom