Ndugu hizo ni tabia za kichawi,wewe huo utafiti wa kutengeneza majini kama sio mchawi ulianzia wapi kupata hiyo idea, au ndo wale mnaowasumbua albino na mawazo yeno yasiyo na msingi. Tena nasikia mnawaambia watu kuwa kuna majini wazuri ninyi mnauhusiano gani na hao mashetano mpaka mkajuana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.