Recent content by Mwalimu Dismas

  1. M

    uchochezi

    nini maana ya uchochezi?? sheria ya uchochezi ipo?
  2. M

    mustakabali wa elimu yetu

    serikali kushindwa kuwapangia vituo vya kazi waalimu walio hitimu vyuo vya ualimu tangia mwaka jana hadi leo inatuelewesha nini kuhusu inavyo jali na kudhamini elimu ya watu wetu?
  3. M

    Miaka 51 ya uhuru na elimu bora nchini Tanzania

    Ni kwel kwamba kama mtoto anaweza kuhtimu Darasa la saba na kuingia sekondar akiwa hajui kusoma wala kuandika, mfumo wa elimu unahtaji tathimimi kubwa. Kikubwa ninacho kiona tofauti na maslah Dun ya waalimu, nchi haina Dira! Hatuna farsafa kama taifa. Hatuna itikadi ya nchi. Miaka hyo 51...
  4. M

    Wanafunzi udom tunakufa tunaisha kwa njaa.

    Najua kwa kutokana na maswahibu waliyo wasababishia wanajiamin kabisa kuwa hakuna atakae jitokeza tena kuwawajibisha. Muhimu ni kuwa mtu wa kweli na kulenga uwajibikaj kuliko unafuu. 'Bora kufa ukiwa umesimama kuliko kuish ukiwa umepiga magoti' katu msinyamaze!
Back
Top Bottom