Ninavyofahamu lengo la mitihani ni kupima kiwango cha maarifa aliyoyapata mwanafunzi katika kozi fulani na mara zote mitihani inatakiwa isitoke nje ya alichofundishwa mwanafunzi.
Labda watungaji wa hiyo mitihani watusaidie kidogo hapa
Naamini kuna tafiti zinazofanywa na wataalamu mbalimbali ndani na nje ya idara juu ya vyanzo vya maji, upatikanaji wake, kiasi na kiwango cha huduma husika kulingana na idadi ya watumiaji wa maji hayo n.k utafiti huu uwe unawekwa wazi ili wateja waweze kujiandaa endapo litatokea tatizo la uhaba...
Kuna namna mamlaka husika inatakiwa kufanya utafiti juu ya chanzo cha huu ukame na kuleta suluhisho la kudumu ikibidi Elimu maalumu itolewe kwa wakazi wanaoishi karibu ama kuzunguka vyanzo vya maji pia naamini kuna namna tutapata suluhu.
Najaribu tu kutafuta namna tunavyoweza kurejesha yale mazuri yaliyotoweka ndugu yangu kwa kudhani tukibadilika sisi basi tunaweza kubadili vizazi vyetu pia.
Tujaribu rafiki yangu
Pesa inanunua huo uthamani ambao pesa hizo zikitoweka na uthamani hutoweka pia. Tuirejee asili ya ule Upendo wa miaka hiyo ambayo thamani ya mtu ni UTU.
Kuna namna nyingi binadamu wa sasa tunazitumia kuonesha thamani ya mtu.
Wengine tunamthamini mtu pindi tu tunapokuwa na uhitaji yaaani anakuwa na thamani pindi anaponipa huduma fulani ila ikiisha tu na thamani yake pia inapungua, inaisha ama inapotea kabisa.
Kuna Wengine tunawathamini kwa...
UPENDO ULIOPOA
Kuna aina nyingi za upendo ambazo binadamu tunajihusisha nao. Kwa sasa upendo ninaoutamani urejee ni ule upendo usio na sababu,upendo unaojali na kuthamini mazingira yote. Upendo unaothamini na kurejesha ubinadamu.
Tujaribu kurejea maisha ya zamani yale ya mtoto wamjomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.