Dr. Amani warid k. Alidhani siasa ina maslahi siasa ni wokovu wa kufa msalabani ili watu wanaokuamini waokoke mwanzoni ndivyo alivyofanya. Aliwaamsha wanakigoma walioitwa wakimbizi wakati huo na hata viongozi wa serikali (baadhi). Ila kutema kwake big g kwa karanga za kuonjeshwa ni pimbi...
Walimu tutakufa! Madeni yetu hata kuguswa! Elimu ya juu na mikopo vipi? Jamani tujipange hata tuandamane! Reli kwa nini isiuzwe? Kuna siri gani hapa! Mahali pengine reli za mwendo kasi sisi ni nkachu x6 hadi kigoma masaa 9o toka dar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.