naomba kuuliza kwa mwenye ufaham
naweza vipi au napitia process zipi kwa mtu ambae ana uraia wa zimbabwe na kashakaa Tz zaid ya miaka 10 kwa kimasomo ila ni Legal sasa nmemaliza kusoma nahitaji niwe raia wa Tz fully kwa kununua naazaje na gharama zake zikoje.
Msaada
Naomba kuuliza kwa mwenye ufaham
naweza vipi au napitia taratibu zipi kwa mtu ambaye ana uraia wa Zimbabwe na kashakaa Tanzania zaidi ya miaka 10 kwa kimasomo ila ni Legal
Sasa nmemaliza kusoma nahitaji niwe raia wa Tanzania kabisa kwa kununua naazaje na gharama zake zikoje.
Msaada
Nina elim ya form six napenda nisome Diploma ya ( Network&hardware au Network security au Multimedia) naomba mnishauri ipi kozi mzuri zaid kat ya hizo na vyuo ambavo naeza kusoma.
Nina elim ya form six napenda nisome Diploma ya ( Network&hardware au Network security au Multimedia) naomba mnishauri ipi kozi mzuri zaid kat ya hizo na vyuo ambavo naeza kusoma.
Nina elim ya form six napenda nisome Diploma ya ( Network&hardware au Network security au Multimedia) naomba mnishauri ipi kozi mzuri zaid kat ya hizo na vyuo ambavo naeza kusoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.