Recent content by mwakuna

  1. mwakuna

    Heslb + tcu+ second batch+ mauaji

    duuuuuuuuuuh heslb
  2. mwakuna

    Elimu ya tanzania ni vyeti na kuajiliwa tu!

    mabadiliko ktk wizara husika kazi kwisha
  3. mwakuna

    Elimu ya tanzania ni vyeti na kuajiliwa tu!

    .....sijui tunakwenda wapi...hapa tutakuwa tunasoma somea lkn sio kuupata utaalamu
  4. mwakuna

    Elimu ya tanzania ni vyeti na kuajiliwa tu!

    hapo ni mabadiliko ktk wizara husika kwani bila hivyo bado kutakuwa na matatizo... ...mf,.kuwaboreshea mazingira waalimu ili kazi hii isionekane ni dhaifu na viwekwe viwango maalumu vya ufaulu wa waalimu nadhan itasaidia(kutafuta waalimu bora)
  5. mwakuna

    Elimu ya tanzania ni vyeti na kuajiliwa tu!

    Inachoshangaza ni mitazamo finyu miongoni mwa wanafunzi wengi ambao wengi hawana mtazamo wa kujiajili. ....hii hutokana kwamba sera za nchi kuhusu elimu na utekelezaji wake haumpi mwanafunzi fikra za kujiajili ..(1)serikali haizingatii ubora wa waalimu nchini...kwani ualimu umewekwa ktk viwango...
  6. mwakuna

    jaribuni kuwa na subira ndugu zangu

    Watu sasa imekuwa shida..dah!,,maana maamuzi ambayo wanachukua.. ..siyo kabisa(maombi yangu ni kuwataka kuwa wavumilivu ktk kipind hiki kigumu wakati mnasubiri mtazamo na hatua zingine ili kusonga mbele) ....kweli yavunja moyo lkn usijaribu kupaniki kwani unaweza kujikuta unafanya...
Back
Top Bottom