Elimu ya tanzania ni vyeti na kuajiliwa tu!

mwakuna

Member
Sep 19, 2012
6
1
Inachoshangaza ni mitazamo finyu miongoni mwa wanafunzi wengi ambao wengi hawana mtazamo wa kujiajili.
....hii hutokana kwamba sera za nchi kuhusu elimu na utekelezaji wake haumpi mwanafunzi fikra za kujiajili
..(1)serikali haizingatii ubora wa waalimu nchini...kwani ualimu umewekwa ktk viwango vya chini kimaslahi na kiufaulu
..hivyo watu weng wanajikuta wakikimbilia hii husababisha kuchangayikana kwa waalimu wa aina mbili';
..(a)waalimu ambao wanawito na wako tayari kuwasaidia wanafunzi kwa hali na mali na siyo masilahi
....(b)waalimu ambao hawakuwa na malengo na kazi hii;sasa kutokana na ugumu wa maisha wameamua kuwa waalimu

...sasa madhara ni kwa wanafunz kwan kinacho fuata hapo ni kuwafundisha wanafunzi namna ya kufaulu mitihani tu..
shida ni baada ya kuhitimu masomo ambapo wengi hukaa bila kuutumia ujuzi wao hivyo nchi kuzidi kuwa masikini

MATOKEO YAKE NI;
1...Wataalamu wengi kuingia ktk makundi mabaya ktk jamii
2..kushuka kwa kiwango cha elimu nchini
3.shule za kata kudolola..(kupotezea muda wanafunzi)..wengi kufeli mitihan kutokana na bora elimu
 
Inachoshangaza ni mitazamo finyu miongoni mwa wanafunzi wengi ambao wengi hawana mtazamo wa kujiajili.
....hii hutokana kwamba sera za nchi kuhusu elimu na utekelezaji wake haumpi mwanafunzi fikra za kujiajili
..(1)serikali haizingatii ubora wa waalimu nchini...kwani ualimu umewekwa ktk viwango vya chini kimaslahi na kiufaulu
..hivyo watu weng wanajikuta wakikimbilia hii husababisha kuchangayikana kwa waalimu wa aina mbili';
..(a)waalimu ambao wanawito na wako tayari kuwasaidia wanafunzi kwa hali na mali na siyo masilahi
....(b)waalimu ambao hawakuwa na malengo na kazi hii;sasa kutokana na ugumu wa maisha wameamua kuwa waalimu

...sasa madhara ni kwa wanafunz kwan kinacho fuata hapo ni kuwafundisha wanafunzi namna ya kufaulu mitihani tu..
shida ni baada ya kuhitimu masomo ambapo wengi hukaa bila kuutumia ujuzi wao hivyo nchi kuzidi kuwa masikini

MATOKEO YAKE NI;
1...Wataalamu wengi kuingia ktk makundi mabaya ktk jamii
2..kushuka kwa kiwango cha elimu nchini
3.shule za kata kudolola..(kupotezea muda wanafunzi)..wengi kufeli mitihan kutokana na bora elimu
mkuu hapo kwenye red hapo....nadhan umeskia sana hili swala la priorit and non priorit...watu wengi wanaenda teaching sio kwamba wanapenda ila wanataka loan..na hii inamadhara makubwa sana hasa kwa kipindi kijacho...watu wengi wanaenda ualimu kwa kutaka loan...kweli hili linchi hili....mungu tupe hekima....
 
unadhani nini kifanyike mkuu

hapo ni mabadiliko ktk wizara husika kwani bila hivyo bado kutakuwa na matatizo...
...mf,.kuwaboreshea mazingira waalimu ili kazi hii isionekane ni dhaifu na viwekwe viwango maalumu vya ufaulu wa waalimu nadhan itasaidia(kutafuta waalimu bora)
 
mkuu hapo kwenye red hapo....nadhan umeskia sana hili swala la priorit and non priorit...watu wengi wanaenda teaching sio kwamba wanapenda ila wanataka loan..na hii inamadhara makubwa sana hasa kwa kipindi kijacho...watu wengi wanaenda ualimu kwa kutaka loan...kweli hili linchi hili....mungu tupe hekima....

.....sijui tunakwenda wapi...hapa tutakuwa tunasoma somea lkn sio kuupata utaalamu
 
Back
Top Bottom