Taja umri wako kwanza ndo tukushauri!! Kwani range ya umri inategemeana sana na mwanaume anaoa akiwa na umri gani!!? Mfano mwanaume akiwa anaumri wa 23yrs, akisema aoe binti alomzidi 10yrs atakua ameoa binti mwenye 13 yrs lakini mwanaume mwenye miaka 38 akisema anaoa binti alomzidi 10yrs ataoa...
Mimi sio muha na sijaoa muha ila ninafanya kazi kigoma! Hayo ulioyasema yanaweza kuwa kweli au sio kweli! Kimsingi mkoa wa kigoma unawaha wa aina tatu ambao ni-
1. Waha wa kasulu kuelekea hadi business =wanyahelu
Sifa zao
Wana jiamini sana, hawapendi kupelekeshwa kabisa.
Niwaongeaji sana...
Naboresha kidogo!! Yatima ni lazima awe ni mtoto mwenye umri chini ya 18yrs Amefiwa na mzazi mmoja au wote wawili. Akiwa 18yrs and above huyo sio yatima labda aitwe mkiwa.
Tafuta hela! Hata hawa warembo wa kitajiri au kutoka Royal familieshawawezi kukubali kuolewa na mwanaume kapuku so tafuta indalama kwanza ili mwende sawa.
Kama uliniona!! Kuna binti mmoja wa kihaya alikuwa ananinyima mbususu sana kwa visingizio vya kutomujibiwa maswali yake, kama lini utakuja kwetu?, lini utaniunganisha na ndugu zako tufahamiane!? Kalikuwa kananiboa na maswali yake hadi kero!?
We mpotezee usimtafute, akutafute yeye tu na akikupigia au kukutext jibu maswali yake tu kwa ufupi usiongeze neo, mfano
Dem: mambo
Wewe; poa
Dem: Uko wapi
Wewe: home
Dem: mbona kimya siku hizi
Wewe: Nipo tu
Atanyooka tu kama vipi asepe na akikomaa muonane mpe location wewe akikataa kuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.