1. Wapinzani wanauwa watu kuwa kigezo cha kuona wanafichuliwa mambo yao na wakati mwingine hata kuwafukuza watu uwanachama.🚮
2. Wanauwezo wa kuchoma ofisi zao na hata kujiteka kisha wasingizie serikali🚮🚮
3. Wameprint katatasi za kura kisha wanaongopa wamekamata na ushahidi wamechoma 🚮 toka link...
Kwaiyo ulitaka wafanye makosa kisha waachiwe? Hakuna kitu kama hicho wataendelea kuwajibika Kwa makosa yao
Hata hivyo wamezoea kutoka toka nje sasa tumewatoa kabisa bungeni .
Hatuwezi achilia watu wanaotaka kuharibu amani yetu kisa kauli ya balozi.
Inabidi tu wakubali kuwa tayari wameng'olewa kwenye viti vyao
Na kama walivyokjwa walitoka nje bungeni sasa wapo uraiani hatuhitaji tena drama zao acha wapate wanachostahili.
Hatuwezi achilia watu wanaotaka kuharibu amani yetu kisa kauli ya balozi.
Inabidi tu wakubali kuwa tayari wameng'olewa kwenye viti vyao
Na kama walivyokjwa walitoka nje bungeni sasa wapo uraiani hatuhitaji tena drama zao.
Yani wew unafahami kabisa tatizo lilipo ila bado unajitahidi kufumbia macho
Tatizo wapinzani wa nchii wamewekeza kwenye chuki kuliko kuuza Sera za vyama vyao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.