hawa ndio wale paka walipakizwa kwenye ndege wakajikuta wapo tz kuja kuchafua akili za watu na urojo wakohuyu ndo balozi sasa, sio wale wengine hata waone watu wanakufa wao ni kimyaa tu kisa maslai yao hayajaguswa
Huko kula vya kwao si ndiyo sera yenu nyie jamaa wa Chama cha Demoghasia & Maombolezo. Mnataka kuweka rasilimali za nchi rehani ili tuendelee kuwa ombaomba, wakati ambapo tunaweza kujijengea miradi mikubwa kwa ajili ya maendeleo himilivu yatakayotufanya tujiondoe shingo zetu chini ya magoti ya hao mabeberu wanaotamani kuwa viranja wa dunia.Wanawajengea mabarabara manyotamba nayo kwenye kampeni, Ukila vya watu ukishikwa tako tulia ukibisha utatemeshwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa hawana ubinafsi kama sisi, kwamba ushughulikie tatizo kwa kuwa na wewe limekugusa!Hivi kwani ubalozi nao ulionja shubiri ya mawasiliano ?
Balozi huyu anawashwawashwa kwao Ni lazima Lissu awe Rais ndio uchaguzi utaonekana wa haki?Kwa hiyo wewe ndio Mambosasa mwenyewe au nyoka wake? IMBECILE Syndrome
embu tupe takwimu tuendelee hapo maana yawezakana ndo walewale mnaojaa kama maji ya kwenye mitaro mvua ikinyeshaCcm hawajaua wananchi? Tuanzie hapo
Marekani wana nini? To hell na matatizo yao.Hata kama tuwe tumelewa madaraka vipi, tuache kuwachokoa Wamarekani.
Huyu balozi anafikri Tanzania ni koloni la Marekani!
wewe ulielewaje mbona uko humu badala ya kuwa sehemu husikaYaani wewe unafahamu kabisa tatizo lililopo ila bado unajitahid kufumbia macho. Tatizo chama tawala kimewekeza kwenye kuua raia wanaodai haki kihalali mana kisera hawana watakachowaambia wapemba wakaelewa.
Yaani kuingiliwa ma nchi nyingine kisiasa haina tofauti na kuvamiwa kivita. Aliyeleta wazo la kufungiwa mtandao wakati wa uchaguzi huu aliona mbali sana. Nyerere aliwahi kusema kila hao jamaa wanapoona nchi imeanza kujinasua kwao, na inasonga mbele kimaendeleo, basi ndipo makalele yao yanazidi kuwa mengi sana. Sasa anahitajika kiongozi madhubuti, anayewachora tu, wala hata hawazi KUGEUKA NYUMA! Dkt. JPM ndiye.Sovereignty means our country is free from outside forces.
Kiukweli siungi mkono mtu wa nje kujihusisha na maswala ya nchi yetu.
Lakini pia siungi mkono injustice.
Yaani wananchi tunawekwa katikati.
Balozi huyo ameandika:
Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all citizens.
View attachment 1617807
Sio mambo sasa unapaswa utambue kwamba lazima tuilinde amani yetu atakaejaribu Basi sheria itafuata mkondo wakeKwa hiyo wewe ndio Mambosasa mwenyewe au nyoka wake? IMBECILE Syndrome
Ameketi tu huko anapost habari za nchi nyingineHivi
Huyu baba hanaga kazi zingine? Kwa Kenya huwaga aanaside na serikali kukandamiza wapinzani kwa Tanzania wanaside na wapinzani dhidi ya serikali. Wamerekani wanafiki sana jamani
una muda mrefu sana jf lakini una fikra finyu sana !
kwao kwenyewe wanaua watu kama sisi kama kuku alafu anakuja kuongea urojo huoHivi
Huyu baba hanaga kazi zingine? Kwa Kenya huwaga aanaside na serikali kukandamiza wapinzani kwa Tanzania wanaside na wapinzani dhidi ya serikali. Wamerekani wanafiki sana jamani
Anawashwa yeye, unajikuna wewe!Huyu balozi wa Marekani naona anawashwa
Ungekuwa US ukaona madudu yao, kamwe usingesema lolote. Hao jamaa wana "double-standard" asikwambie mtu. Urafiki wao hudumu kwa yule anayekubali kukamuliwa huku akiwachekea. JPM kwao ni never. Nampenda Rais asiyekubali kukoromewa na kupangiwa la kufanya na watu kama hao ambao Rais wao mwenyewe alishapa kwamba Afrika tungepaswa kuendelea kuwa makoloni kwa kipindi kingine cha miaka 100.Tuseme ukweli tu SERIKALI YA TANZANIA awamu ya tano ni Serikali dhalimu sana. Yani huwezi kutofautisha Tanzania na Burundi au Rwanda kwa sasa. Tanzania ni nchi iliyojijengea heshima kubwa kidemokrasia Leo hii tumekuwa kituko.
Swali unalotakiwa kujiuliza, je wanayoyasema marekani ni ya kweli au wanamsingizia MAGUFULI???
Mitandao imezimwa au haijazimwa??? Kura zimeibiwa au hazijaibiwa??
UCHAGUZI ulikuwa huru au uhuni tu??
Je magufuli asingefanya dhulma ya yote haya Marekani wangemsema vibaya? ?
Tatizo ni MAGUFULI...ni MAGUFULI tu
Isiwe anawashwa ukajikuna wewe!Huyu balozi wa Marekani naona anawashwa