Recent content by mwakijembe

  1. M

    Kuna Upigaji mkubwa sana kwenye Miradi ya Ujenzi hasa Barabara

    😂 Ila wataalam wakipatia ni ccm imefanya!
  2. M

    Ngolo Kante hatarini kufirisika,ameoa shangazi wa kizungu mwenye miaka 47

    Design ni wale unakuwa na demu kila mtu akikuona naye anajua ww mgeni mjini.
  3. M

    Ngolo Kante hatarini kufirisika,ameoa shangazi wa kizungu mwenye miaka 47

    Mzungu na uno wapi na wapi? Huyo N'golo kashoboka na rangi tu.
  4. M

    Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

    Kama kuna uwezekano wa mtoto wako kwenda kusoma kwenye nchi zinazotumia kiingereza ama kifaransa mpeleke. Kiswahili ni lugha ya kufukuzia mashetani na sio zaidi ya hapo.
  5. M

    Falsafa ya ‘Law of Pressure’ inavyoiwezesha CHADEMA kuidhoofisha CCM na kuzidi kuipa wakati mgumu Serikali na Vyombo vya Ulinzi

    Kuna ubaya kama Mbowe akiishi hivyo wakati kuna wanaoishi kwa kuua pia? Au mnatarajia watu wote watakuwa makondoo kwa muda wote?
  6. M

    Falsafa ya ‘Law of Pressure’ inavyoiwezesha CHADEMA kuidhoofisha CCM na kuzidi kuipa wakati mgumu Serikali na Vyombo vya Ulinzi

    Mmebaki na mbinu za kizee mno wakati kizazi kimebadilika. Kwa kifo hiki cha Mzee kibao, uhayawani wote wa ccm umewekwa wazi peupe.
  7. M

    Ukweli usemwe: CHADEMA imeipiku CCM na Serikali yake kwa Propaganda.

    Kwa huu uchaguzi ambao ccm ndio refa, mshika kibendera, kamisaa na body ya michezo, inatakiwa kuwa mwendawazimu kuamini mazingira hayo kuna uchaguzi wa kweli.
  8. M

    Wazee wa Kimaasai na Meru kuvunja chungu kufuatia mauaji ya Ali Kibao

    Amka ww, yaani ili mimi nijue dawa fulani inafanya kazi ni lazima niijaribu, siwezi kuona matokeo kwa wengine? Achana na imani za kishirikina boss.
  9. M

    Wazee wa Kimaasai na Meru kuvunja chungu kufuatia mauaji ya Ali Kibao

    Nazungumzia jambo linalotekelezeka ww unaniambia habari za Zito! Kwahiyo vitisho vya Zito ndio ushahidi wa hizo imani za kubumba?
  10. M

    Falsafa ya ‘Law of Pressure’ inavyoiwezesha CHADEMA kuidhoofisha CCM na kuzidi kuipa wakati mgumu Serikali na Vyombo vya Ulinzi

    Kwahiyo ccm wanafanya haya mauaji sasa kwakuwa cdm nao wakiingia madarakani watafanya?!
  11. M

    Falsafa ya ‘Law of Pressure’ inavyoiwezesha CHADEMA kuidhoofisha CCM na kuzidi kuipa wakati mgumu Serikali na Vyombo vya Ulinzi

    Kama umeme na maji ingekuwa issue, makaburu wa afrika kusini hadi leo wangekuwa madarakani.
  12. M

    Wazee wa Kimaasai na Meru kuvunja chungu kufuatia mauaji ya Ali Kibao

    Kwamba huo usanii mjini haufiki, au lazima uwe porini tu?
  13. M

    PreGE2025 Ni nani anamchafua Rais Samia?

    Huwa nacheka sana hiyo lugha ya kuwa nililazimishwa lakini sikuwa nataka, halafu unashangaa aliyekuwa hataki hayo madaraka anageuka kuwa mtekaji na muuaji, huku akipora chaguzi ili aendelee kukaa madarakani!
Back
Top Bottom