Habari zenu, naona watu wanahusisha uislam na ugaidi
Mtu ajifunze nini maana ya uislam nini maana ya ugaidi, kisha ajifunze yale yaliyo ya kiislam na yale yaliyo ya kigaidi, baada ya hapo aje na hoja yakuhusisha ugaidi na uislam
Pia usilam siyo uarabu ila uislam umeshuka kwa jamii ya waarabu...
Kiuhalisia na ndiyo ukweli usiopingika jamii ya sasa tumekosa elimu ya FAMILIA NA MALEZI kiujumla tumeshindwa kuendana na kasi ya mabadiliko ya kidunia malezi ya mtoto wa miaka 2 siyo malezi ya mtoto wa miaka 4
Kama Mr Masha Jr alivyosema malezi ya mtoto huanza tangu tumboni na elimu ni jambo...
Kulingana na maisha ya sasa baba na mama wote ni watafutaji muda wa kuwa na watoto haupo mabint wa kazi kadhalka ni mtihani
Na tukipewa mashtaka ya wanetu tunaona wanasemwa vibaya bila kuchunguza mtoto anaona wazazi wapo upande wangu majirani wataacha kukuambia hata wakimuona anafanya mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.