Inaonekana umeamini hayo maneno ushauri wa Bure ungana na mtoa post muende mahakamani mkafungue kesi otherwise unabakia kuwa umbeya na majungu, Mahakama pekee ndicho chombo kinachoweza kuthibitisha na kumtia mtu hatiani, nenda mahakamani maadam Dkt. Kihamia yupo atafuatwa huko. Please nenda...
Tanzania tunahitaji viongozi wenye kufanya maamuzi kwa vitendo sio mbwembwe za majukwaani halafu utekelezaji 0. Miaka ya nyuma Arusha ilikua kama pango la wanyanganyi kila mtu ana ndevu, baba ndevu na watoto ndevu wakati huo umepita, sasa ni wakati wa kujenga nchi kwa kasi na uadilifu.Mtoa post...
Usishindane na muda utaumia!! kama unaweza kazuie wabunge wa upinzani kuhama otherwise acha Katiba ifanye kazi yake maana chaguzi ndogo zote huendeshwa kwa mujibu wa sheria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.